allantence
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 355
- 303
Kuna siku bweni la ujamaa ,karibu na DH, alipigwa splash mwalimu fulan wa advance, wanafunzi walitolewa mabwenin ambao hawakuwa assemble, ilikuwa ni shida,...
huyo mwalimu sio Sir Mgimwa kweli ?
huyo alipigwa flashi na akamuona mwanafunzi aliyempiga flashi , mbona palipendeza huo mtanange wake