Waliosoma Tosamaganga High School

Waliosoma Tosamaganga High School

Tosamanga ni shule nzuri kimazingira, lakini kwa walimu ni kama shule nyingine za serikali, msuli wako tu more.... Nakumbuka vurugu ya wanakijiji na wanafunzi hadi kumpoteza mwenzetu.. Rest in peace mwana

Rip kwake
 

Nimefurahi sanaaaaaaa kukuta sred hii humu ndani.

Nmepita apo 2014-16, ukintajia mzee ugulumo alikuepo wakat tunamaliza 6 sitamsaau kwanza mtoto wake alikua roommatê wangu pale ujamaa #14 (kwa sas npo nae chuo MD2 amentangulia mwãka mmoja) pili, alinpaga adhabu ya kukimbia (mbele ya block za ujamaa na mapinduz) mm na wenzangu, cha ajabu nkaànguka, looh hatari sanaaaaaaa nkarudi dom kulala.

Uyo inyasi, ayubu na kilasi wakawa wababe wa shule. One week bfr necta prof ndalichako akafanya ziara..daah miss it much tosaaa nation.

Chama langu hiyo
 
nakumbuka aliniambia comb ninayotaka kusoma itangharimu sana na alinukuu kwa kusema ni sawa na mtu aliyetoka kubeba gunia la nyasi na kuja kubeba gunia la misumari sikumuelewa kabisa juu ya hii kauli yake pale pale kwa kumuonyesha dharau ni ka mwambia tanzania kuna high skul nying na sitokanyaga ata darasani....ahaaa alicheka sana na hakuniona tena na baadaye yule mkuu alikuja illboru na kunikuta ....

Jj shula
 
waliniacha hoi sikumbuki vizur ilikuwa form six class ipi walivomaliza mitihan walipanda juu na kulusha karatasi mavitabu kalculeta na wakisema tukutane ud mkuu alipigwa na butwaa so fun sana......

Mwaka wangu huo ikawa tukija kufata vyeti wanatupa adhabu
 
Hahahahah ama kweli mtu aliyepita tosamaganga ana mengi aliyojifunza kutokana na life style ya pale.
Kipindi cha mitihani halafu ikutwe mvua inanyesha huwa ni balaa ngazi za kule jikoni kwani ni mtiti mbaya zaid ukute ni kitu cha nyalii...hahhaha
Mgomo wa tar 30 june 2012 hii nayo sitasahau pale mabomu yalipoanza kulindima na watu tukapoteana msituni,baadaye tunajikuta mwingine hana kiatu kimoja,mwingine peku hahahahaha hii siku ni ukumbisho tosha maishani mwangu kwani shulla hakuamini kilichokuwa kikitokea
Aiseeeee yako mengi ninayo yakumbuka toka ule mlima wa tosa
2010 - 2012
Migumi ni sehemu ya utaratibu Tosa Boyz. Kutoka 2005 mpaka 2008 kulikuwa na migomo kadhaa😃😄
 
Migumi ni sehemu ya utaratibu Tosa Boyz. Kutoka 2005 mpaka 2008 kulikuwa na migomo kadhaa

Huu mwaka wangu niliingia pale 2006 na kutoka 2008 nilisoma pcb,sema nilikua mtoro balaa muda mwingi niko Iringa town nasoma tuishen au Tanga kabisa home.
Migomo vurugu hii miaka iliongoza mpaka tukapigana na wanakijiji Ipamba dah
 
Ila Tosa imetufunza vingi sana kuliko darasa a, foleni za vya kula nilijua hata wapi nikae ili nisije banwa mlangoni dah
 
Back
Top Bottom