mnankawe
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 178
- 97
IPO sehemu maarufu iliitwa "half mile"cjui kama Bado ipo?noamba mnijuze mambo mbalimbali kuhusu shule hiyo
IPO sehemu maarufu iliitwa "half mile"cjui kama Bado ipo?noamba mnijuze mambo mbalimbali kuhusu shule hiyo
ukisema iringa girls sawa..lakini nyie mlikuwa mnazidiwa hata na lugaloAaaahhh nmekumbuka mbali sanaaa
Enzi hizo Tosa boys wanawachanganya watoto WA cagrielo girls na Iringa girls...
Ila watoto WA Cagrielo tulikuwa wakali sanaaaa![]()
![]()
![]()
Hiii kazia ilisababisha tuitishe kikao cha dharura usiku wa mananePCB tuliwaachia Egm kuchota maji enzi za JJ shulla
Mandela Anex room no 109 mwaka 2011
huyu mzee stomsahau tosa nilimuhonga pesa ili nihamie tosa kutoka nje na kutana na dishi kilasi duuu hapo hapo nikabadili gia angani na kutokusoma kbsa tosa
flash haita isha mkuu,fight ya nyali nayo haita isha scout walembo sana
Mkuu Mandela bado ipo? Jengo la zamani sana lilikuwa ukitembea sakafu inatikisika unasikia mtetemeko na kudondosha vidongo.
kilasi boya sana yan alinitisha sana na siku hyhy nikahamahahahha we ulihonga kuhamia tosa ?? hiyo shule ni ya wababe dishi kilasi nilimkimbiza room haji kusahau.
kilasi boya sana yan alinitisha sana na siku hyhy nikahama
ahaaaaa na yupo humu jf nataman aje asome ujinga alionifanyia ahaaa😛😛😛😀😀😀😎😎😎daah pole sana huyo kilasi alikuwa anaogopa wanafunzi balaa ghafla et nae nasikia akawa mbabe wa shule
ilikuwa june 2012ahaaaaa na yupo humu jf nataman aje asome ujinga alionifanyia ahaaa😛😛😛😀😀😀😎😎😎
Idete mashambaniidete je?
Mlunza mzee wa kupiga pangamkuu unamkumbuka mpish nguli mzee mlunza?