Waliojitokeza kuwania tuzo ya uimbaji bora

Waliojitokeza kuwania tuzo ya uimbaji bora

ila sasa ungeweka na na silabi nne tu kwenye kiitikio kwani sijaona chorus yake hapo na mbona ujaweka note ili ya wimbo wako, unaimba kwa kufuata kanuni hii DOLEMIFASILATIDO AU DOTILASIFAMILEDO nambie bestito
:a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20:
 
mie najitoa sitaki kushiriki shindano..
na huu ndio wangu msimamo... ladyfurahia najua utalia...lkn vumilia...
kuelekea mwezi wa toba basi tuanze kuomba
najitoa maana najikubali..kwa hiki kipaji...
hapo bado cjapanda kwenye jukwaa..nyota ishang'aaa
naona wengine wapinza..wanabung'aaaaa

cc Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
Ok ladyfurahia nitaleta hayo mashairi
nipe time kidogo
umeshanipata best usijali kama uko serious na uko tayari ntakuja kufundisha kwaya yenu huko na hizo nyimbo mbona hujaweka mashairi yake hapa chini ili majaji wafanye kazi yao hapa weka maneno ya hizo nyimbo hasa mmojawapo ili majaji wafanye kazi yao ya kuupendekeza wimbo bora kwani wako wanaangalia mnavyojituma hapa best
 
Last edited by a moderator:
kwa mbaali naona kuna vina..
mie najitoa sitaki kushiriki shindano..
na huu ndio wangu msimamo... ladyfurahia najua utalia...lkn vumilia...
kuelekea mwezi wa toba basi tuanze kuomba
najitoa maana najikubali..kwa hiki kipaji...
hapo bado cjapanda kwenye jukwaa..nyota ishang'aaa
naona wengine wapinza..wanabung'aaaaa

cc Heaven on earth
 
pls usijitoe best mbona wafanyahivyo jamani sasa unataka uwe nani tena hujui kuwa list inapungua badala ya kuongezeka nani amekuuzi tena jamani niambie sasa ili nimshughulikie sema sasa hapa tumwaibishe shetani
..tafadhali mie najitoa..kwa sababu zilizo ndani ya uwezo wangu...
 
Back
Top Bottom