Waliojitokeza kuwania tuzo ya uimbaji bora

Waliojitokeza kuwania tuzo ya uimbaji bora

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,592
Habari zenu marafiki

Wafuatao ndio waliojitokeza kuwania tuzo ya mwimbaji bora wa CHITCHAT 2013-2014

watakaoshindanishwa ni : Bujibuji, ( Namba yake ya ushiriki ni CCF01) figganigga, (No. CCF 02), Ruttashobolwa, (No. CCF 03) Mamndenyi (No. CCF 04) Donn (CCF05) Bakulutu (CCF 06) KakaKiiza (CCF 07) Bishanga (CCF 08) Chimbuvu (kasema atakuja toka huko Mw ila namba yake ya ushiriki ni (CCF 09) Kipaji Halisi (sijui kama alikuwa ananitania huyu, NO yake ni CCF 10), amu (CCF 11) MKALIwakitaa (CCF12) kaiser (kasema atakuwa safarini ila kama atawahi atakuwepo ila namba yake ya ushiriki ni No. CCF13), Mwita Maranya, (haeleweki huyu kama ataimba No yake ni CCF14), stevoh (No yake ni CCF15) Passion Lady (sijui yukko dar sina hakika naye kwani kaniambia nimpange kwenye list NO yake ni CCF16), NA GRAfan II (sina taarifa naye sana ila namba yake ya ushiriki ni (CCF17). Madame B, (ajanijibu hivyo nimeshindwa kumpa namba yake ya ushiriki kama yuko tayari basi aniPM) Wapenzi wangu hiyo ndo list niliyokuwa nayo ya watakaoshiriki Furaha Music Award ya CC - 2013

WALIMU WATAKAOWANOA NA KUANGALIA VIGEZO VYA UIMBAJI
ladyfurahia (Mwalimu kiongozi) Mentor (atakuwa mwalimu msaidizi) pia atakuwa na kazi ya kuhesabu kura zao

kuna watu wawili nao ni Paloma na Asprin wao wana kazi yao ngumu sana siitaji hapa mtaiona siku hiyo.
Mwita Maranya atakuwa mlinzi wa kura hizo.

Hawa watakuwa watazamaji wa Shindano hili siku ya jmosi ijayo ya tarehe 06/7/2013
amu, cacico, Heaven on earth, gfsonwin, Asprin, watu8, ndio walisema watakuja kuangalia shindano hilo wao hawatashindana. Na wengine wanakaribishwa kuwepo kwenye Tamasha hilo ambalo sambamba litaendana na
GET TOGETHER PARTY YA WANA CC WOTE. pale pale LEO TUPO HAPA PUB


Kama kuna wengine mko dar es salaam mnataka kushiriki shindano hilo pale LEO TUPO HAPA PUB
Jiandikissheni kwa kunPM ili mpate namba zenu za ushiriki wa shindani hilo nafasi bado zipo wahi
sasa bila ajizi kutuma hiyo sms yako kwa walimu niliowataja hapo.

Mgeni Rasmi atakuwa Invisible au @Moderate wa Chitchat

Ni hayo best wangu
Nyote mnakaribishwa sana pls muwepo jamani

copy: Nicas Mtei, Arushaone, Filipo, Erickb52, Mr. Rocky, Passion Lady, Lady doctor, Bishanga, kokutuna, Mwali, charminglady, Smile, Lady Unbreakable, MziziMkavu, Zitto, Jiwe Linaloishi, Excellent, Pascal Mayalla, madame X, na wengineo wengi ambao wako mikoani na Tanzania kwa ujumla
kwani tukitoka hapa Dar tutanzaa mikoani kumsaka mwimbaji bora wa chitcha. kaeni mkao wa kujiandaa huko.
 
Last edited by a moderator:
:a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20:
 
sasa mie mtazamaji mara mie nashiriki mbona majanga. Paloma hivi umewaza Bujibuji akiimba anakuwaje???
nimecheka sana jamani
Habari zenu marafiki

Wafuatao ndio waliojitokeza kuwania tuzo ya mwimbaji bora wa CHITCHAT 2013-2014

watakaoshindanishwa ni : Bujibuji, ( Namba yake ya ushiriki ni CCF01) figganigga, (No. CCF 02), Ruttashobolwa, (No. CCF 03) Mamndenyi (No. CCF 04) Donn (CCF05) Bakulutu (CCF 06) KakaKiiza (CCF 07) Bishanga (CCF 08) Chimbuvu (kasema atakuja toka huko Mw ila namba yake ya ushiriki ni (CCF 09) Kipaji Halisi (sijui kama alikuwa ananitania huyu, NO yake ni CCF 10), amu (CCF 11) MKALIwakitaa (CCF12) kaiser (kasema atakuwa safarini ila kama atawahi atakuwepo ila namba yake ya ushiriki ni No. CCF13), Mwita Maranya, (haeleweki huyu kama ataimba No yake ni CCF14), stevoh (No yake ni CCF15) Passion Lady (sijui yukko dar sina hakika naye kwani kaniambia nimpange kwenye list NO yake ni CCF16), NA GRAfan II (sina taarifa naye sana ila namba yake ya ushiriki ni (CCF17). Madame B, (ajanijibu hivyo nimeshindwa kumpa namba yake ya ushiriki kama yuko tayari basi aniPM) Wapenzi wangu hiyo ndo list niliyokuwa nayo ya watakaoshiriki Furaha Music Award ya CC - 2013

WALIMU WATAKAOWANOA NA KUANGALIA VIGEZO VYA UIMBAJI
ladyfurahia (Mwalimu kiongozi) Mentor (atakuwa mwalimu msaidizi) pia atakuwa na kazi ya kuhesabu kura zao

kuna watu wawili nao ni Paloma na Asprin wao wana kazi yao ngumu sana siitaji hapa mtaiona siku hiyo.
Mwita Maranya atakuwa mlinzi wa kura hizo.

Hawa watakuwa watazamaji wa Shindano hili siku ya jmosi ijayo ya tarehe 06/7/2013
amu, cacico, Heaven on earth, gfsonwin, Asprin, watu8, ndio walisema watakuja kuangalia shindano hilo wao hawatashindana. Na wengine wanakaribishwa kuwepo kwenye Tamasha hilo ambalo sambamba litaendana na
GET TOGETHER PARTY YA WANA CC WOTE. pale pale LEO TUPO HAPA PUB


Kama kuna wengine mko dar es salaam mnataka kushiriki shindano hilo pale LEO TUPO HAPA PUB
Jiandikissheni kwa kunPM ili mpate namba zenu za ushiriki wa shindani hilo nafasi bado zipo wahi
sasa bila ajizi kutuma hiyo sms yako kwa walimu niliowataja hapo.

Mgeni Rasmi atakuwa Invisible au @Moderate wa Chitchat

Ni hayo best wangu
Nyote mnakaribishwa sana pls muwepo jamani

copy: Nicas Mtei, Arushaone, Filipo, Erickb52, Mr. Rocky, Passion Lady, Lady doctor, Bishanga, kokutuna, Mwali, charminglady, Smile, Lady Unbreakable, MziziMkavu, Zitto, Jiwe Linaloishi, Excellent, Pascal Mayalla, madame X, na wengineo wengi ambao wako mikoani na Tanzania kwa ujumla
kwani tukitoka hapa Dar tutanzaa mikoani kumsaka mwimbaji bora wa chitcha. kaeni mkao wa kujiandaa huko.
 
Last edited by a moderator:
naona umeanza kuandika mashairi yako hapa ngoja nimwite jaji mdogo Mtambuzi aje kuhakiki na kutoa pendekezo la kuupitisha au la
asante kwa kushiriki best karibu
:a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20::a s 20:
 
Last edited by a moderator:
amu umeona eeh....mie nimeshangaa..(mshiriki CC 11@amu)
halafu tena hutashindana...sasa cjui umejitoa ama vipi?
 
Last edited by a moderator:
asante sana kwa hili, tena namba 4 ndo namba yangu ya bahati.

Hapa waimbaji ni Mamndenyi (CCF 004) na Chimbuvu (CCF 09)
Hawa wengine sana sana wataimba pambio la pamoja tu.


Naomba kuimba (1) Haleluya Kuu (2) Mungu wetu ndiye Boma (3) .......bado haujapatikana
Nahitaji mwalimu wa kwaya hapa hapa jf,
malipo ni maelewano.

watakaoshindanishwa ni : Bujibuji, ( Namba yake ya ushiriki ni CCF01) figganigga, (No. CCF 02), Ruttashobolwa, (No. CCF 03) Mamndenyi (No. CCF 04) Donn (CCF05) Bakulutu (CCF 06) KakaKiiza (CCF 07) Bishanga (CCF 08) Chimbuvu (kasema atakuja toka huko Mw ila namba yake ya ushiriki ni (CCF 09) Kipaji Halisi (sijui kama alikuwa ananitania huyu, NO yake ni CCF 10), amu (CCF 11) MKALIwakitaa (CCF12) kaiser (kasema atakuwa safarini ila kama atawahi atakuwepo ila namba yake ya ushiriki ni No. CCF13), Mwita Maranya, (haeleweki huyu kama ataimba No yake ni CCF14), stevoh (No yake ni CCF15) Passion Lady (sijui yukko dar sina hakika naye kwani kaniambia nimpange kwenye list NO yake ni CCF16), NA GRAfan II (sina taarifa naye sana ila namba yake ya ushiriki ni (CCF17). Madame B, (ajanijibu hivyo nimeshindwa kumpa namba yake ya ushiriki kama yuko tayari basi aniPM) Wapenzi wangu hiyo ndo list niliyokuwa nayo ya watakaoshiriki Furaha Music Award ya CC - 2013
 
Last edited by a moderator:
weka wimbo wako hapa mwenzio amu ameshaandika wimbo wake na unafanyiwa kazi na majaji angalia usijeambulia patupu weka songi basi
amu umeona eeh....mie nimeshangaa..(mshiriki CC 11@amu)
halafu tena hutashindana...sasa cjui umejitoa ama vipi?
 
Last edited by a moderator:
umeshanipata best usijali kama uko serious na uko tayari ntakuja kufundisha kwaya yenu huko na hizo nyimbo mbona hujaweka mashairi yake hapa chini ili majaji wafanye kazi yao hapa weka maneno ya hizo nyimbo hasa mmojawapo ili majaji wafanye kazi yao ya kuupendekeza wimbo bora kwani wako wanaangalia mnavyojituma hapa best
asante sana kwa hili, tena namba 4 ndo namba yangu ya bahati.

Hapa waimbaji ni Mamndenyi (CCF 004) na Chimbuvu (CCF 09)
Hawa wengine sana sana wataimba pambio la pamoja tu.


Naomba kuimba (1) Haleluya Kuu (2) Mungu wetu ndiye Boma (3) .......bado haujapatikana
Nahitaji mwalimu wa kwaya hapa hapa jf,
malipo ni maelewano.

watakaoshindanishwa ni : Bujibuji, ( Namba yake ya ushiriki ni CCF01) figganigga, (No. CCF 02), Ruttashobolwa, (No. CCF 03) Mamndenyi (No. CCF 04) Donn (CCF05) Bakulutu (CCF 06) KakaKiiza (CCF 07) Bishanga (CCF 08) Chimbuvu (kasema atakuja toka huko Mw ila namba yake ya ushiriki ni (CCF 09) Kipaji Halisi (sijui kama alikuwa ananitania huyu, NO yake ni CCF 10), amu (CCF 11) MKALIwakitaa (CCF12) kaiser (kasema atakuwa safarini ila kama atawahi atakuwepo ila namba yake ya ushiriki ni No. CCF13), Mwita Maranya, (haeleweki huyu kama ataimba No yake ni CCF14), stevoh (No yake ni CCF15) Passion Lady (sijui yukko dar sina hakika naye kwani kaniambia nimpange kwenye list NO yake ni CCF16), NA GRAfan II (sina taarifa naye sana ila namba yake ya ushiriki ni (CCF17). Madame B, (ajanijibu hivyo nimeshindwa kumpa namba yake ya ushiriki kama yuko tayari basi aniPM) Wapenzi wangu hiyo ndo list niliyokuwa nayo ya watakaoshiriki Furaha Music Award ya CC - 2013
 
Haya ndio maandalizi ya kumpokea Obama?
 
Back
Top Bottom