Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,664
- 272,504
- Thread starter
- #61
Noma kweli !Serikali ya maigizo na mizuka.
Noma kweli !Serikali ya maigizo na mizuka.
Swali lako ni zuri sana , bali anayeweza kulijibu kwa ufasaha ni Tulia Ackson .Tarifa hewa hii ataje kwa majina akina nani wanaolipwa?
Wakati viongozi wa upinzani wanapiga kelele na style hii ya utumbuaji kuwa sio sahihi mavuvuzela wakageuza kibao na hata mkulu mwenyewe wakasema eti wapinzani siku hizi wanatetea ufisadi.Noma kweli !
Huu mchezo hauitaji hasiraaHayo yamesemwa na Mh Halima Mdee ambaye ni msemaji wa kambi ya upinzani wa wizara ya fedha na mipango , wakati akisoma maoni ya kambi hiyo kuhusu mapendekezo ya mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka 2017/18.
" Tumeshuhudia serikali ya ccm ikijitapa kutumbua majipu iliyotengeneza yenyewe kwa mbwembwe , kumbe nyuma ya pazia serikali hiyo hiyo inayalipa majipu hayo mishahara pamoja na marupurupu mengine "
" septemba bil 2.2 zilitengwa kwa ajili ya kuwalipa viongozi waliotumbuliwa , ikiwemo tsh mil 198.8 kama POSHO YA USUMBUFU . "
Chanzo - Mwananchi .


Nitumbueeeeee nisitumbueeeeee ?Muda mrefu sasa sijasikia habari za kutumbua majipu. Huenda labda hii ndio sababu
Huko ndio tunaelekea .Mtaji wa ccm ni ujinga na umasikini wetu...siku tukijitambua asubuhi akuna cha nini wala nani ...madaraka wanaachia kwa kura za SAA.nne
Mabadiliko ya kuzungusha mikono vipi!Huko ndio tunaelekea .
kwisha habari yakoAchana na huyo Mdee mnywa Viroba
Njoo huku ndio kutamu
Ofisi ya CHADEMA wilaya ya karatu yavamiwa na kufungwa
Wanyonge hawa mnaotimua watoto wao vyuo vikuu ?Mabadiliko ya kuzungusha mikono vipi!
CCM ya sasa ni ya wanyonge,
Sent from my GT-I9192 using JamiiForums mobile app
Mkuu katika hili wimbi la kuhakiki kila kitu hakuna uwezekano wa kuhakiki phd za mlimani ? Maana siku hizi kila kitu hewaDikteta uchwara katika utembo wake. Hapa majanga tu, kila anachogusa ni majanga tu.
CCM yenyewe ndiyo jipu. Ni chama cha kilaghai sana hiki. Kazi yao ni kutafuta sifa majukwaani tu.
Tatizo anatumbua tumbua bila mpango,anakurupuka.badae yanamgeukia yeye anazidi kuchanganyikiwa