Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Wazeee wa kujitoa ufahamu faiza foxy, simiu yetu , sijui lizabon kuja pande hii jibu hoja bila kupepesa macho
 
Lakini muda mwingine hawa wanasiasa si wa kuwaamini sana vitu wanavyosema bila kutoa ushahidi dhahiri,walitupiga fix juu ya Edo kwa zaidi ya miaka kumi
 
Siasa hyo:ukiitwa kivuli inamaanisha nini?? Mhhhh:kivuli sidhani kama kukiwa giza utakiona
 
Kama hajawataja watumbuliwa waliolipwa basi ni porojo zao wanaziendeleza kwa JPM. Watamgwaya tu na bado
 
Back
Top Bottom