Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Ccm hawana tena uwezo wa kulijenga Taifa cha msingi watuachie Taifa letu heave stupid
 
Hayo yamesemwa na Mh Halima Mdee ambaye ni msemaji wa kambi ya upinzani wa wizara ya fedha na mipango , wakati akisoma maoni ya kambi hiyo kuhusu mapendekezo ya mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka 2017/18.

" Tumeshuhudia serikali ya ccm ikijitapa kutumbua majipu iliyotengeneza yenyewe kwa mbwembwe , kumbe nyuma ya pazia serikali hiyo hiyo inayalipa majipu hayo mishahara pamoja na marupurupu mengine "

" septemba bil 2.2 zilitengwa kwa ajili ya kuwalipa viongozi waliotumbuliwa , ikiwemo tsh mil 198.8 kama POSHO YA USUMBUFU .

Chanzo - Mwananchi .
Ccm bhana,ngoja kiama kifike labda watabadilika.
 
Hata kesi nyingi walizopeleka mahakamani mfano NIDA, akina Kitilya inaonyesha kabisa serikali haipo serious nazo na likely wanaenda kuzishindwa, na kitakachofuata itakuwa kuwalipa watuhumiwa Billions of compensation.
Mfano juzi mpaka Hakimu anaesikiliza kesi ya NIDA kawa mbogo..watuhumiwa wameletwa mahakamani lakini mawakili au waendesha mashtaka upande wa serikali hawakufika.
Walikuwa wanaona raha kutumbua.. Ngoja waone shuguli yake mahakamani.
 
Hayo yamesemwa na Mh Halima Mdee ambaye ni msemaji wa kambi ya upinzani wa wizara ya fedha na mipango , wakati akisoma maoni ya kambi hiyo kuhusu mapendekezo ya mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka 2017/18.

" Tumeshuhudia serikali ya ccm ikijitapa kutumbua majipu iliyotengeneza yenyewe kwa mbwembwe , kumbe nyuma ya pazia serikali hiyo hiyo inayalipa majipu hayo mishahara pamoja na marupurupu mengine "

" septemba bil 2.2 zilitengwa kwa ajili ya kuwalipa viongozi waliotumbuliwa , ikiwemo tsh mil 198.8 kama POSHO YA USUMBUFU . "

Chanzo - Mwananchi .
Lizaboni Elungata njooni huku, hizi ndio habari za Town
 
Kazi kushabikia tu mambo usiyoyajua. mbona hamwataji hao wanaojipigia?
Waulize viongozi wako , alienda Magufuli na mkwara wa kufa mtu , watu wakamsikiliza wee ! Alipowapa mgongo tu mambo yakarudi kama kawa , baadaye kidogo akaenda Majaliwa akabwabwaja weee ! Watu wakamcheki tu , na wala hakuuliza kwanini mpaka leo uchakachuaji unaendelea ! Unajua kwanini hadi leo watu wanajipigia ? CCM INA WENYEWE MJOMBA , wewe endelea kuvishwa vijikofia uchwara .
 
Walimtumbua katibu mkuu mmoja kwa sababu ya mambo ya bandarini-mwaka umekwisha sasa madudu yanaendelea. Unajiuliza yule katibu mkuu kweli ndiye aliyekuwa na tatizo au mfumo uliokuwapo na manyang'au yaliyopo (Ukimsikiliza Renatus Mkinga) ndiyo kiini cha tatizo. Hivi zile flow meters zimeshapona?
Mwingine ambaye yamemkumba ni aliyekuwa RC wa Morogoro-migogoro kati ya wafugaji na wakulima inaendelea lakini naona huenda matatizo yameanza kueleweka kwani RC wa sasa anaendelea na kazi.
My take: Sio kweli kwamba kila aliyetumbuliwa alikua na tatizo-wengine ni matatizo ya mfumo (dhaifu) uliokuwapo. Yeyote ambae angekuwepo hapo kama yule katibu mkuu au RC Morogoro kwa vigezo vya mkulu angetumbuliwa tu lakini labda ingefaa zaidi kwa mkuu kuwaita na kuwapa maelekezo ya yale aliyo kuwa anategemea kutoka kwao na yeye angewapa support gani. Just thinking aloud.
 
Atanyooka tu na yeye kuongoza nchi si kutumbua watu tu ni akili itumike na busara
 
Back
Top Bottom