Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Anadaiwa tsh ngapi ?


Zaidi ya billion 1.3 kodi ya nyumba jengo la NHC. Inaonekana tangu ahamie hajalipa kodi alikuwa akipiga dili. Na Lowassa angeshinda Urais Mbowe angejinyakulia jengo kwa mukatabs wa kijanja, na huyu ndiye kiongozi wa Wapinzani. Hawa watu wanachezea akiri za Watanzania.
 
Zaidi ya billion 1.3 kodi ya nyumba jengo la NHC. Inaonekana tangu ahamie hajalipa kodi alikuwa akipiga dili. Na Lowassa angeshinda Urais Mbowe angejinyakulia jengo kwa mukatabs wa kijanja, na huyu ndiye kiongozi wa Wapinzani. Hawa watu wanachezea akiri za Watanzania.
Basi hii nhc ni bure kabisa , miaka yote mtu halipi halafu wamekaa tu ? Mchechu atimuliwe .
 
Basi hii nhc ni bure kabisa , miaka yote mtu halipi halafu wamekaa tu ? Mchechu atimuliwe .

Lazima alikuwa na Godfather ambaye alikuwa akimukingia kifua. Matajiri wengi Tanzania walikuwa wapiga dili, ndiyo maana wengi wao wanaimba demokrasia, demokrasia na wizi kama huu haviendi.
 
Hayo yamesemwa na Mh Halima Mdee ambaye ni msemaji wa kambi ya upinzani wa wizara ya fedha na mipango , wakati akisoma maoni ya kambi hiyo kuhusu mapendekezo ya mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka 2017/18.

" Tumeshuhudia serikali ya CCM ikijitapa kutumbua majipu iliyotengeneza yenyewe kwa mbwembwe , kumbe nyuma ya pazia serikali hiyo hiyo inayalipa majipu hayo mishahara pamoja na marupurupu mengine "

" Septemba bil 2.2 zilitengwa kwa ajili ya kuwalipa viongozi waliotumbuliwa , ikiwemo tsh mil 198.8 kama POSHO YA USUMBUFU . "

Chanzo: Mwananchi .
sasa anashauri nini?
 
Hayo yamesemwa na Mh Halima Mdee ambaye ni msemaji wa kambi ya upinzani wa wizara ya fedha na mipango , wakati akisoma maoni ya kambi hiyo kuhusu mapendekezo ya mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka 2017/18.

" Tumeshuhudia serikali ya CCM ikijitapa kutumbua majipu iliyotengeneza yenyewe kwa mbwembwe , kumbe nyuma ya pazia serikali hiyo hiyo inayalipa majipu hayo mishahara pamoja na marupurupu mengine "

" Septemba bil 2.2 zilitengwa kwa ajili ya kuwalipa viongozi waliotumbuliwa , ikiwemo tsh mil 198.8 kama POSHO YA USUMBUFU . "

Chanzo: Mwananchi .
Mungu ibariki jf
 
Back
Top Bottom