Sawa....uko mwaka wa ngapi...unaenda tarehe 28?Twende wote mkuu, kesho kutwa
Kama upo dar.
Duuh sasa kama Unapata Mkopo au labdaa unasuburi second bach why ulipee Adaa..!???? Ukilipaa hostel tuu vip utapata hiyo invoice Number..Kwani wew hawajakutumia katika akaunti au email yako mkuu? Ipo hivi tuition fee kwa kozi za sayansi ni 1.263M, Other fees 214k, na medical fee ni 100k pamoja na hosteli kwa mwaka ni 176,320 kwa mwaka mzima. na kulipa ni kwa benki ya crdb, mpaka ukishatumiwa invoice namba yako mkuu katika akaunti yako ya suasis.
Ndo hapo kama wew unasubiri mkopo nadhani unatakiwa kusubiri mpaka siku ikifungua chuo maana kuna muda unatolewa kwamba uwe tayari umelipa ada na hosteli. Invoice unapata kabla ya kulipa malipo yoyote.Duuh sasa kama Unapata Mkopo au labdaa unasuburi second bach why ulipee Adaa..!???? Ukilipaa hostel tuu vip utapata hiyo invoice Number..
Aaha ok...!! So niitumie kufungua Account yangu ya Sua ndo nitaona hayo mahitajii!??Ndo hapo kama wew unasubiri mkopo nadhani unatakiwa kusubiri mpaka siku ikifungua chuo maana kuna muda unatolewa kwamba uwe tayari umelipa ada na hosteli. Invoice unapata kabla ya kulipa malipo yoyote.
Sidhani kama ipo mkuu, ila subiri waje wajuvi.habr wakuu..bsc.wth education(biolgy&chemistry) sua inapatikana? naomben majibu nifanye maamuzi yalio sahihi
Ndyo kama wamekutumia admission letter yako humo ndo wameainisha gharama za chuo.Aaha ok...!! So niitumie kufungua Account yangu ya Sua ndo nitaona hayo mahitajii!??
Utakunywa hata konyagi ni ratiba zako kuweka vzrNimechaguliwa bvm,nasikia kule hata mda wa kunywa balimi hamna,ni kweli eti
Hapo sawaa,mana dah!si wengine tulishaharibika na hizi mamboUtakunywa hata konyagi ni ratiba zako kuweka vzr
yap naenda tarehe hiyo, mimi ni mwaka wa kwanza.Sawa....uko mwaka wa ngapi...unaenda tarehe 28?
Watakutumia kwa suasis akaunti yako mkuu. Maana saiv akaunti za suasis yani first years zinasoma kama tayari ni mwanafunzi kwahyo angalia kushoto kwenye menu, kuna vipengele vinakupa mwongozo.Wakuu,invoice itatumwa kwenye e-mail au suasis?
Asante MkuuWatakutumia kwa suasis akaunti yako mkuu. Maana saiv akaunti za suasis yani first years zinasoma kama tayari ni mwanafunzi kwahyo angalia kushoto kwenye menu, kuna vipengele vinakupa mwongozo.
asante mkuuSidhani kama ipo mkuu, ila subiri waje wajuvi.
Inabidi uwahiWadau mimi niko mkoani,natakiwa kuenda lini moro...maana wanasema orientation tarehe 30.je mimi nitoke lini huku sasa.msaada
IPO pale karibu sana SUAhabr wakuu..bsc.wth education(biolgy&chemistry) sua inapatikana? naomben majibu nifanye maamuzi yalio sahihi
Hahahahaha, sijui kama in kweli ila muda utaupata kutegemeana na ratiba yako.Nimechaguliwa bvm,nasikia kule hata mda wa kunywa balimi hamna,ni kweli eti
asante mkuuIPO pale karibu sana SUA
Nikisoma ID yako na ulichoandika napata wasi wasi sana...Nimechaguliwa bvm,nasikia kule hata mda wa kunywa balimi hamna,ni kweli eti