Wenye ndoto ya Kusoma Abroad 2024 tukutane hapa kuitimiza

EEM M

Senior Member
May 20, 2022
132
285
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya.

Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua Mollel na mwenzake kwa kupoteza icon za wapambanaji wa kweli katika taifa. Binafsi nalaani ughaidi huo.

Moja kwa moja niende kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Natafuta vijana wenye ndoto kama yangu ya kusoma Abroad 2024 tujipange na kushare idea kwa pamoja kufanikisha ndoto zetu.

Nina mpango wa kutengeneza group ambalo tutakuwa tukipeana mawazo na techniques za kupata full scholarship abroad ili mwaka 2024 na sisi tukachukue ujuzi kwa wenzetu pengine tuje kulisaidia taifa ambalo miaka 60+ ya uhuru bado tuna mgao wa umeme na maji.

Binafsi nimemaliza chuo (Degree) miaka kadhaa iliyopita, nikapiga Course ya utalii na baadae nikasoma kidogo kifaransa kwenye hizi shule za chocho huku USA (United State of Arusha).

Kwa Bongo naona bado milango ya fursa imepigwa Solex kwan fursa nyingi ni kwa kujuana unless uwe na kitu zaidi hasa kwetu sisi ambao mfumo haututambui.

Basi tukajinoe ughaibuni tuweze kuijenga Tanzania yetu na kuleta ujuzi mpya katika nchi hii ambayo waliochaguliwa wanatembelea V8 huku wapiga kura wakifuata maji mtoni kwa more than 4 km.

Nataman nipate vijana kama 20 ambao tutapeana michongo na kufanikiwa kwa Pamoja kupata scholarship abroad.

Naamini vijana wengi wana ndoto kama yangu ila tunakosa kupeana connection na kuunganisha dot tuweze kutoboa.

Tukacheki fursa Abroad 2024.

PM iko wazi.

Asalaaam!
 
Kaka me Ni mwanafunzi wa kidato cha sita.mwakan majaliwa ya mungu namaliza.
Mimi pia malengo yangu nahitaj one day nisomee degree yangu ya kwanza Huko ughaibun. Nipe contact zako please tupeane maelekezo.

Natanguliza shukran za dhati.
 
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya.

Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua Mollel na mwenzake kwa kupoteza icon za wapambanaji wa kweli katika taifa. Binafsi nalaani ughaidi huo.

Moja kwa moja niende kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Natafuta vijana wenye ndoto kama yangu ya kusoma Abroad 2024 tujipange na kushare idea kwa pamoja kufanikisha ndoto zetu.

Nina mpango wa kutengeneza group ambalo tutakuwa tukipeana mawazo na techniques za kupata full scholarship abroad ili mwaka 2024 na sisi tukachukue ujuzi kwa wenzetu pengine tuje kulisaidia taifa ambalo miaka 60+ ya uhuru bado tuna mgao wa umeme na maji.

Binafsi nimemaliza chuo (Degree) miaka kadhaa iliyopita, nikapiga Course ya utalii na baadae nikasoma kidogo kifaransa kwenye hizi shule za chocho huku USA (United State of Arusha).

Kwa Bongo naona bado milango ya fursa imepigwa Solex kwan fursa nyingi ni kwa kujuana unless uwe na kitu zaidi hasa kwetu sisi ambao mfumo haututambui.

Basi tukajinoe ughaibuni tuweze kuijenga Tanzania yetu na kuleta ujuzi mpya katika nchi hii ambayo waliochaguliwa wanatembelea V8 huku wapiga kura wakifuata maji mtoni kwa more than 4 km.

Nataman nipate vijana kama 20 ambao tutapeana michongo na kufanikiwa kwa Pamoja kupata scholarship abroad.

Naamini vijana wengi wana ndoto kama yangu ila tunakosa kupeana connection na kuunganisha dot tuweze kutoboa.

Tukacheki fursa Abroad 2024.

PM iko wazi.

Asalaaam!
Nmeipenda hii
 
FURSA ZA KUSOMA NJE YA NCHI
“ MIMI NAZIJUA FURSA 2024

Sincerely nimefurahi kusikia sasa wa Tanzania kushirikiana kuvunja Mnyororo wa Ubinafsi wa kutobebana kusoma Nje (ABROAD Opportunities) wenzetu wa kenya, Ugandans, Rwandese, Nigerians na afadhali wenzetu wa Visiwani hasa Pemba they tried
Bahati Nzuri Nimesoma na kuishi na kufanya kazi ULAYA miaka 6 na sasa USA Karibu Miaka 15 na nina Wakilisha
Vyuo Vikuu na Taasisi mbali mbali za Ki - Mataifa hapa Nchini Tanzania

na kipekee Nipo tayari kumsaidia any serious guy. Msikatishwe tamaa na walio kata tamaa wanaojua kukosoa kwenye Jamii kubwa kama Tz hawakosekani

Taasisi yangu hapa Tz Imesaidia kutoa ushauri wa
- NINI CHA KUSOMA NA WAPI KWA KUSOMA KULINGANA NA SOKO LA AJIRA
Haya ni mambo ambayo Mfumo wetu wa Elimu au Vyuo vyetu hapa they don’t do so
na kwa Miaka miingi Tumeshauriwa na watu ambao pia hawakuwahi kushauriwa na kujikuta tunasoma vitu ambavyo havina Soko au hatuvipendi tena
Kwa mfano Waalimu wetu, Wazazi wetu na wa kubwa wetu wengi wamekua ndiyo Washauri wakubwa wakati wao pia ni wahanga (victims of the same system)
Taasisi yetu hapa Nchini imepeleka nje direct or indirect wanafunzi zaidi ya 4000 ndani ya miaka 10 na Mwaka huu tunakusudia kuwapeleka Zaidi ya 200 kusoma na kufanya kazi au kuishi Nchi za
Germany USA Canada Australa Spain Austia Finland China South korea Poland and India
  • Kumbuka siyo Bure kuna consultancy fee kwa process nzima na huduma kama za passport na visa pia kupelekwa na mara nyingi vyuo wanatoa Partial Scholarship na kuna Nchi gharama ni Sawa na hapa Tanzania
  • kwa Maelezo zaidi piga au whatsAp
+255 755489800
 
Kaka me Ni mwanafunzi wa kidato cha sita.mwakan majaliwa ya mungu namaliza.
Mimi pia malengo yangu nahitaj one day nisomee degree yangu ya kwanza Huko ughaibun. Nipe contact zako please tupeane maelekezo.

Natanguliza shukran za dhati.

Kwa wenye utashi wa kweli na wenye Elimu ya form four na kumaliza kwanzia 2020-2023
Kwa Waliomaliza Diploma na form six au Bachelor na Masters hatujalii ulimaliza lini Lakini usizidi miaka 50
Tuwasiliane kupitia +255 755489800
 
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya.

Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua Mollel na mwenzake kwa kupoteza icon za wapambanaji wa kweli katika taifa. Binafsi nalaani ughaidi huo.

Moja kwa moja niende kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Natafuta vijana wenye ndoto kama yangu ya kusoma Abroad 2024 tujipange na kushare idea kwa pamoja kufanikisha ndoto zetu.

Nina mpango wa kutengeneza group ambalo tutakuwa tukipeana mawazo na techniques za kupata full scholarship abroad ili mwaka 2024 na sisi tukachukue ujuzi kwa wenzetu pengine tuje kulisaidia taifa ambalo miaka 60+ ya uhuru bado tuna mgao wa umeme na maji.

Binafsi nimemaliza chuo (Degree) miaka kadhaa iliyopita, nikapiga Course ya utalii na baadae nikasoma kidogo kifaransa kwenye hizi shule za chocho huku USA (United State of Arusha).

Kwa Bongo naona bado milango ya fursa imepigwa Solex kwan fursa nyingi ni kwa kujuana unless uwe na kitu zaidi hasa kwetu sisi ambao mfumo haututambui.

Basi tukajinoe ughaibuni tuweze kuijenga Tanzania yetu na kuleta ujuzi mpya katika nchi hii ambayo waliochaguliwa wanatembelea V8 huku wapiga kura wakifuata maji mtoni kwa more than 4 km.

Nataman nipate vijana kama 20 ambao tutapeana michongo na kufanikiwa kwa Pamoja kupata scholarship abroad.

Naamini vijana wengi wana ndoto kama yangu ila tunakosa kupeana connection na kuunganisha dot tuweze kutoboa.

Tukacheki fursa Abroad 2024.

PM iko wazi.

Asalaaam!
Moja kati ya nyuzi nzuri sana sana hii ni moja wapo. Kongole sana ndugu tutakuja inbobo tuyajenge wazo zuri sana hili
 
FURSA ZA KUSOMA NJE YA NCHI
“ MIMI NAZIJUA FURSA 2024

Sincerely nimefurahi kusikia sasa wa Tanzania kushirikiana kuvunja Mnyororo wa Ubinafsi wa kutobebana kusoma Nje (ABROAD Opportunities) wenzetu wa kenya, Ugandans, Rwandese, Nigerians na afadhali wenzetu wa Visiwani hasa Pemba they tried
Bahati Nzuri Nimesoma na kuishi na kufanya kazi ULAYA miaka 6 na sasa USA Karibu Miaka 15 na nina Wakilisha
Vyuo Vikuu na Taasisi mbali mbali za Ki - Mataifa hapa Nchini Tanzania

na kipekee Nipo tayari kumsaidia any serious guy. Msikatishwe tamaa na walio kata tamaa wanaojua kukosoa kwenye Jamii kubwa kama Tz hawakosekani

Taasisi yangu hapa Tz Imesaidia kutoa ushauri wa
- NINI CHA KUSOMA NA WAPI KWA KUSOMA KULINGANA NA SOKO LA AJIRA
Haya ni mambo ambayo Mfumo wetu wa Elimu au Vyuo vyetu hapa they don’t do so
na kwa Miaka miingi Tumeshauriwa na watu ambao pia hawakuwahi kushauriwa na kujikuta tunasoma vitu ambavyo havina Soko au hatuvipendi tena
Kwa mfano Waalimu wetu, Wazazi wetu na wa kubwa wetu wengi wamekua ndiyo Washauri wakubwa wakati wao pia ni wahanga (victims of the same system)
Taasisi yetu hapa Nchini imepeleka nje direct or indirect wanafunzi zaidi ya 4000 ndani ya miaka 10 na Mwaka huu tunakusudia kuwapeleka Zaidi ya 200 kusoma na kufanya kazi au kuishi Nchi za
Germany USA Canada Australa Spain Austia Finland China South korea Poland and India
  • Kumbuka siyo Bure kuna consultancy fee kwa process nzima na huduma kama za passport na visa pia kupelekwa na mara nyingi vyuo wanatoa Partial Scholarship na kuna Nchi gharama ni Sawa na hapa Tanzania
  • kwa Maelezo zaidi piga au whatsAp
+255 755489800
Mkuu matapeli pia ni wengi sana siku hizi. Je ya kweli haya?
 
Kusoma abroad tuanze kuwaiga wahindi na wanaijeria nyumba moja wanakaa watu 12 kodi inakuwa laki na nusu kwa mwezi, ukikaa kivyako inafika hata milioni kila mwezi
 
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya.

Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua Mollel na mwenzake kwa kupoteza icon za wapambanaji wa kweli katika taifa. Binafsi nalaani ughaidi huo.

Moja kwa moja niende kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Natafuta vijana wenye ndoto kama yangu ya kusoma Abroad 2024 tujipange na kushare idea kwa pamoja kufanikisha ndoto zetu.

Nina mpango wa kutengeneza group ambalo tutakuwa tukipeana mawazo na techniques za kupata full scholarship abroad ili mwaka 2024 na sisi tukachukue ujuzi kwa wenzetu pengine tuje kulisaidia taifa ambalo miaka 60+ ya uhuru bado tuna mgao wa umeme na maji.

Binafsi nimemaliza chuo (Degree) miaka kadhaa iliyopita, nikapiga Course ya utalii na baadae nikasoma kidogo kifaransa kwenye hizi shule za chocho huku USA (United State of Arusha).

Kwa Bongo naona bado milango ya fursa imepigwa Solex kwan fursa nyingi ni kwa kujuana unless uwe na kitu zaidi hasa kwetu sisi ambao mfumo haututambui.

Basi tukajinoe ughaibuni tuweze kuijenga Tanzania yetu na kuleta ujuzi mpya katika nchi hii ambayo waliochaguliwa wanatembelea V8 huku wapiga kura wakifuata maji mtoni kwa more than 4 km.

Nataman nipate vijana kama 20 ambao tutapeana michongo na kufanikiwa kwa Pamoja kupata scholarship abroad.

Naamini vijana wengi wana ndoto kama yangu ila tunakosa kupeana connection na kuunganisha dot tuweze kutoboa.

Tukacheki fursa Abroad 2024.

PM iko wazi.

Asalaaam!
Nawezaj pata number yako nimeshindwa jinsi ya kuku PM🥹
 
Back
Top Bottom