Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 794
- 752
kama kichwa kinavosema, mimi nipo second year hapo sua mazimbu natafta mdau anibebe kwa semistar hii, namba yangu 0754350882
Acha hizo mkuu, tembea na website ya chuo. Unafahamu jinsi ratiba inavyopangwa? Ni kwa course sio college wala general univ.Oii Time table sua,mwenye anayo atume
Haaahaaa poa Mkuu nshapataAcha hizo mkuu, tembea na website ya chuo. Unafahamu jinsi ratiba inavyopangwa? Ni kwa course sio college wala general univ.
Mkuu, uzuri wake nini? Mie naisikia sikia tuKaribu ndugu hiyoo ipo main campus, n nzur sana pia
mkuu,jamaa..huwa..wanagoma,kukusajili..kama..hujalipa..ada..ya..nusu..Mwaka/semester..inayotakiwa..chakufanya,ingia..chuo...hata,ukope..kwa..wenzio..ambao...tayari...wamepata...boom,watakuazima...sababu..nawewe...utakuwa..una..uhakika...wa..kupata...boom..baada..ya..kukamilisha...usajili.usikae...kujifungia...nyumbani,hutopata..msaada...njoo..chuo..ongea..na..dean...of..students..pamoja..na..loan..officer,ufanye..taratibu...za..kujisajili..mapema.Wadau Mimi nlikuja apo Sua mwaka Jana nkafutiwa mkopo, ikanbdi nirud home coz ckua na chochte, huu mwaka nmechaguliwa tna Sua bsc.animal science, bt shda bado ni uchumi, nlivokua ktaa nmefanikiwa kuksanya 500,000/-, bt inatakiwa nilipe 945,500/-, swali langu ni je, kunauwezekano wa kusajiliwa bila kukamilisha ada?(kwa maana ya kulipa zile direct cost tu?) Kama kma m2 amefanikiwa kwa hilo anipe uzoefu, maana nmepewa mkopo 0% (means ntapata boom2 ada najilipia) na xaiv bdo npo hom kagera naskilzia upepo, Family support ni 2%.
Nikifanikiwa2 kusajiliwa, itanichkua miez mitatu kulipa ada yote, coz nna shamba la maharage nkivuna mwez wa kwanza ntalipa kila k2, kwa mwenye uzoef anxaidie ni VP ntsajiliwa?
Very truemkuu,jamaa..huwa..wanagoma,kukusajili..kama..hujalipa..ada..ya..nusu..semester..inayotakiwa..chakufanya,ingia..chuo...hata,ukope..kwa..wenzio..ambao...tayari...wamepata...boom,watakuazima...sababu..nawewe...utakuwa..una..uhakika...wa..kupata...boom..baada..ya..kukamilisha...usajili.usikae...kujifungia...nyumbani,hutopata..msaada...njoo..chuo..ongea..na..dean...of..students..pamoja..na..loan..officer,ufanye..taratibu...za..kujisajili..mapema.
pole...sana,mkuu...ningekupa..hifadhi..sema..umechelewa,sana...ngoja,nitajaribu..kutafuta..mtu.Nashkur Mkuu kwa ushauri. Bt naomba pia m2 anaewzakunpokea geto au hostel just nkapata pakulala mwez mmja tukachangia garama, naomba msaada, aya maisha kxaidiana2, apana m2 anawzaktoboa kwa msuli wake mwenyew, PM yko kwngu italpwa na mungu Mkuu!
Nipo hapa. Karibu nikusadiie mkuuKwa yeyote ambaye ana soma au aliyesoma sua na shida kidogo
Naomba namba zako kiongoz kama ina wezekanaNipo hapa. Karibu nikusadiie mkuu
Hodii mm ni mwana suaso mpya 2019/2020 NAOMBENI USHAURI kati ya BLS na FST ipi ni kozi nzuri?