Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Nimemaliza hiyo course ktk department of agricultural engineering and land planning chini ya prof. Mpanduji. Ila daaah mdogo wangu sikufichi kabisa Mimi nimemaliza 2016 ila tumeisoma namba kitaa mpka sasa, na hata walomaliza mwaka 2015 walikua 9 tu. Ila bado wapo mtaani wanasota sana, kipindi namaliza walikuja vijana wa st Joseph baada ya chuo chao kufungwa. Kuna wengine wamejoin na hawa walomaliza mwaka huu wanafika hata 100. Na wengine walijoin na hawa wanamaliza mwakani wale ndo wako ka 200 aiseee fikiria jam hiyo.
Mimi nimeamua kupiga zangu ujasiriamali , chamsingi wewe ukienda hiyo usitegemee ajira sana uwe na plan B tunza pesa zako sana uje ujikte kwenye ujasiamali kama sisi kaka zako, nakwambia ukweli ili ujioange AGE haina dili kabisa Kwa sasa, sasa hiv nimesikia mkuu wa department ni baanda salim
ushaur mzr
 
Ndo hapo kama wew unasubiri mkopo nadhani unatakiwa kusubiri mpaka siku ikifungua chuo maana kuna muda unatolewa kwamba uwe tayari umelipa ada na hosteli. Invoice unapata kabla ya kulipa malipo yoyote.
Mie kila nikijaribu kudownload invoice inakataa cjui kwann msaada jmn
 
Kwani wew hawajakutumia katika akaunti au email yako mkuu? Ipo hivi tuition fee kwa kozi za sayansi ni 1.263M, Other fees 214k, na medical fee ni 100k pamoja na hosteli kwa mwaka ni 176,320 kwa mwaka mzima. na kulipa ni kwa benki ya crdb, mpaka ukishatumiwa invoice namba yako mkuu katika akaunti yako ya suasis.
Hyo ni mwaka wa kwanza je kwa semister ya kwanza unatakiwa kulipa kias gan jmn msaada plz
Kwani wew hawajakutumia katika akaunti au email yako mkuu? Ipo hivi tuition fee kwa kozi za sayansi ni 1.263M, Other fees 214k, na medical fee ni 100k pamoja na hosteli kwa mwaka ni 176,320 kwa mwaka mzima. na kulipa ni kwa benki ya crdb, mpaka ukishatumiwa invoice namba yako mkuu katika akaunti yako ya suasis.
 
Kuhama chuo kama ana mkopo itamsumbua sana labda awe mvumilivu maana inaweza choma hata semester nzima bila kupata boom, kuhama tcu zamani walikua wanatoa nafasi za kuhama but kwa utaratibu wa sasa hivi sijajua labda ajaribu kufatilia vyuo vyote alikopangiwa na anapotaka kwenda

Gharama hapa sua inategemeana na mkopo % ulizopewa but ada kozi nyingi ni 1263,000/= (main campus) , + 93,000/= otherfees, + 60,00/= bima ya afya ya sua kama unayo bima ya afya basi unalipia 40,000/=
Je natakiwa kulipa ada yote ya mwaka wa kwanza kwa semister ya kwanza au nalipa kias gan kwa semister ya kwanza
 
Mi nimechaguliwa BTM hapo SUA lakin sina uhakika kama nitaenda tarehe 30 ya orientation na kusoma hapo maana nipo njia panda
 
Food science and technology, niulizeni chochote nitawajibu. Karibuni sana Sokoine University of Assignments
 
Back
Top Bottom