blogspot
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,269
- 1,147
Shukrani Mkuu wengine wanantisha balaaaKaribuni sana wadogo zetu, wasiwatishe eti sua ngumu hapana , ugumu ni kama mtu haupigi misuli...
Karibuni sana.
Shukrani Mkuu wengine wanantisha balaaaKaribuni sana wadogo zetu, wasiwatishe eti sua ngumu hapana , ugumu ni kama mtu haupigi misuli...
Karibuni sana.
Mkuu ebu nipe garama zote za kujisajir hapo sua kwa mwaka wa kwanza tofaut na ada pia ada semister ya kwanza inaeza kua kias ganWale wa mazimbu nakaribisha maswali
Asee naomba nichek kwa namba hii plz plz plz 0656911116Shukrani Mkuu wengine wanantisha balaaa
Wanaotishia ni wale ambao wamekutwa na bwana pepsi, but ukija kwa lengo la kusoma mbona unamaliza vizuri kabisaShukrani Mkuu wengine wanantisha balaaa
Kuhama chuo kama ana mkopo itamsumbua sana labda awe mvumilivu maana inaweza choma hata semester nzima bila kupata boom, kuhama tcu zamani walikua wanatoa nafasi za kuhama but kwa utaratibu wa sasa hivi sijajua labda ajaribu kufatilia vyuo vyote alikopangiwa na anapotaka kwendaJamani kama kuna mtu anajua Utaratibu wa kufanya transfer chuo kimoja kwenda kingne mana kuna rafiki angu kapata UDOM lakn alikua anataka kuja SUA upoje Utaratibu wake na vp inaezekana hilo la kwanza jambo la pili kwa anaefaham semister ya kwanza kwa mwaka wa kwanza gharama zake zipoje kuanzia ada na mengneyo plz msasda
Francis siku hizi hayupo aliondoka kwenye vyeti feki...Msimsahau francis tunamuita dvc wa ue freedom square
jitahd2 kuwapigia mkuu.duh mda gani wewe uliwapata?
Mkuu msaada,wamesema orientation inaanza tarehe 30.mimi ni wakuripoti mazimbu...je nitoke mkoni lini,natakiwa kuwa sua lini?.asanteWale wa mazimbu nakaribisha maswali
Mkuu msaada,wamesema orientation inaanza tarehe 30.mimi ni wakuripoti mazimbu...je nitoke mkoni lini,natakiwa kuwa sua lini?.asanteWale wa mazimbu nakaribisha maswali
Kwani wew hawajakutumia katika akaunti au email yako mkuu? Ipo hivi tuition fee kwa kozi za sayansi ni 1.263M, Other fees 214k, na medical fee ni 100k pamoja na hosteli kwa mwaka ni 176,320 kwa mwaka mzima. na kulipa ni kwa benki ya crdb, mpaka ukishatumiwa invoice namba yako mkuu katika akaunti yako ya suasis.Nimetafuta Joininga instruction.Mtandaoni nimekosaa..!!
Ivii mahitajii unapoanza chuo na gharamaa zikojee...!?? Zilee ambazo unatakiwa kulipia Bank..!????
Mkoa gani unatoka? Kuna utaratibu umewekwa kwa wale watakaowahi kufika mapema kabla ya tarehe husika ama kipind cha orientation kupatiwa chumba hosteli. Hivyo unaweza kwenda hata tarehe 28 oktoba sio mbaya.Mkuu msaada,wamesema orientation inaanza tarehe 30.mimi ni wakuripoti mazimbu...je nitoke mkoni lini,natakiwa kuwa sua lini?.asante
Natoka dar tu mkuuMkoa gani unatoka? Kuna utaratibu umewekwa kwa wale watakaowahi kufika mapema kabla ya tarehe husika ama kipind cha orientation kupatiwa chumba hosteli. Hivyo unaweza kwenda hata tarehe 28 oktoba sio mbaya.
Pia hiyo n nzur mkuu wala usiwe na wcwcMi nimechaguliwa animal science ,mwenye ufafanuzi zaid wakuu
Twende wote mkuu, kesho kutwaNatoka dar tu mkuu