Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Mkuu akaunti ya mdogo wangu inaandika user name blocked, ni zaidi ya wiki sasa. . Hii inamaana gani mkuu?
Endelea kuangalia mkuu mikunamshkaji wangu alikua ivyoivyo na Jana usiku nikamchekia nimekuta ampechaguliwa animal science,pia angalia majina yao sua wametoa tayari
 
Endelea kuangalia mkuu mikunamshkaji wangu alikua ivyoivyo na Jana usiku nikamchekia nimekuta ampechaguliwa animal science,pia angalia majina yao sua wametoa tayari
Huyu alishachaguliwa tangu mwanzo. Na yupo kwenye majina yasiyokuwa ya multiple selection. Ila saivi imefunguka lakin haina kipya. Inaandika admission in progress until 18th of August.
 
msaada mkuu mm sijaona chochote kwenye account yangu.lakin kwenye orodha ya majina nipo...nisaidie tafadhari
 
KQA WALE AMBAO ACCOUNT ZAO HAZINA ADMISSION LETTER HD NOW WATOE MREJESHO BAADA YA MAWASILIANO O TUMIA NO.0692762372 / 0765997885
 
Jamani kama kuna mtu anajua Utaratibu wa kufanya transfer chuo kimoja kwenda kingne mana kuna rafiki angu kapata UDOM lakn alikua anataka kuja SUA upoje Utaratibu wake na vp inaezekana hilo la kwanza jambo la pili kwa anaefaham semister ya kwanza kwa mwaka wa kwanza gharama zake zipoje kuanzia ada na mengneyo plz msasda
 
mkuu hizo namba zipo busy mda wote
ni kwel zipo busy bt zinapatikana piga mara kwa mara utawapata mm jana niliongea nao kuhusu admssn lettr na j.instrctn na leo wamentumia mkuu.tayar nmesha print mkuu
 
ni kwel zipo busy bt zinapatikana piga mara kwa mara utawapata mm jana niliongea nao kuhusu admssn lettr na j.instrctn na leo wamentumia mkuu.tayar nmesha print mkuu
duh mda gani wewe uliwapata?
 
Back
Top Bottom