sinoatrialnode
Member
- Jun 23, 2017
- 16
- 10
Naombeni info ya BSc with education
Acha utani asee... Nakushauri chagua agro economics...Kati ya "Rural developments" na "Agro business" ipo kali interms of marketing baada ya kumaliza chuo?!!
Iv kuna group LA WhatsApp LA sua !!!Ingiaa group LA wasap LA sua ndugu ukuje kwa wahusika wenyew
SUA SECOND YEARSIv kuna group LA WhatsApp LA sua !!!
Admin nan???
Pia itakuwa mzuka kufahamu vitu vingi pale sua
First year hakuna mkuu!!!! Au iyo ndiyo ya wote
Acha kudanganya watu bana... Sema wanatoa pesa once then wanakula na ikiisha wanatoa tena...Wale wa Solomon Mahlangu mnichek PM kuna shemeji yenu pale nlimwachaga 2012 ana mgahawa wake UNIT ONE njooni niwapeni dili mtakua mnakula bureeeee
Maelezo zaid kuhusu kozi ya animal science hapo sua[/
Aim: produce graduates with knowledge in animal production. Such knowledge and skills will enable graduates to either employ themselves or be employed in private or public sector in animal production industry
Jiandae kisaikolojia kuwahi pindi la mahamoud hamad semister oneAisee .agribusiness Solomon mahlang campus
Hahaaaaaa
Huyo kaz ake yy kufundisha semister ya kwanza tyuu anakutia stress toka mwanzo wa semister had mwisho afu ukizubaa anakudaka probHuyu Jamaa inaonekana ni tishio sana. Maana kuna rafiki yangu alipga AEA pale alikua anamuongelea sana
Huyo kaz ake yy kufundisha semister ya kwanza tyuu anakutia stress toka mwanzo wa semister had mwisho afu ukizubaa anakudaka prob
Mm muhanga wake japo hakunidaka alinipa karai la somo lake ila stress hazikwepek
ilikuwa zamn siku hizi mtelemko tuu paleeWale mtakaoenda kusoma BVM ...muage nyumbani kabisa.... shule ya mule ndani imesimama...
All in all Hongereni kwa kuchaguliwa katika chuo bora cha kilimo Tanzania....
Karibuni Home of Excellence....
Wale wasua nendeni mkasome shuleHahaha AEA Basi ni hatari sana. Maana Jamaa aliniambia alisha kerisha watu huyooo.
Ila kuna Dr mmoja hua wanamsifia sana gabagambi
Na pia main campus kulikua kuna msuya nae alikua tishio wa AEA na yeye