Waliobadilisha Maisha yangu....

Ndio ujifunze mkeo sio wa ajabu kihivyoo. Unahitaji kujua udhaifu wa mwenzio na kum-complete. Pale ulipo dhaifu yeye anasimama kwa ajili yako na kukufanya uonekane mwanaume wa maana. You should do the same. Ukiwa negative hata jf tu itakuchosha.
Natamani siku ambayo wana JF tutakusanyika mahali na kila mmoja akajitambulisha kwa jina lake analolitumia humu. Mimi nafurahia ushauri wa watu wengi wanaoutoa humu ila nimejifunza kwamba kumbe wanawake aina ya mke wangu wako wengi, mmojawapo NIVEA!
 
I am complete, do I need any one to complete me?

Jamani mateka yuko wapi?

Ndio ujifunze mkeo sio wa ajabu kihivyoo. Unahitaji kujua udhaifu wa mwenzio na kum-complete. Pale ulipo dhaifu yeye anasimama kwa ajili yako na kukufanya uonekane mwanaume wa maana. You should do the same. Ukiwa negative hata jf tu itakuchosha.
 
Niko huku mambo kijijini nachukua makabichi. Ukianza kupanda nistue nije tukutane mjini basi.

Poa mamito King'asti.
BTW hiko kijiji kiko wapi wamito,maana mie naenda Malindi-Lushoto-Tanga
 
Last edited by a moderator:
dah, ina maana na mimi sijatoa ishu za maana humu jf? nipendeleeni na mimi jamani...lol....ila kiukweli nawakubali wafuatao: kongosho, lara1, kaunga, mzizimkavu, boflo kwa vituko vyake, mtambuzi,gfsonwin,to mention a few kwani wengi mmenisaidia sana kuwa na msimamo fulani ktk maisha haya. asanteni sana na mbarikiwe sana Inshaallah!
 
Zina mvuto sana

Ndio maana mwanzoni nimeshukuru wale naotofautiana nao mitazamo, ujue kama hushangazwi jua hujifunzi usiyoyajua kabisa

Ukisoma mada ikakuacha mdomo wazi, mara nyingi huwa ni kitu kipya kabisa ama usichoamini kabisa
Hivyo vyote vinanifungua macho ya dunia nisiyoifahamu, wiyelele included

Hapa imenibidi nimwingize Wiyelele jamani
 


Mtambuzi... nampa salute zangu na nyota 3
 
Jamani natangaza wazi,namkumbuka sana Husninyo ,dah na huyo aliemkwaza sijui tu.

Pia dada yangu Cantalisia sijui yuko wapi Mwali nae mbaaaaaaya!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ndio ujifunze mkeo sio wa ajabu kihivyoo. Unahitaji kujua udhaifu wa mwenzio na kum-complete. Pale ulipo dhaifu yeye anasimama kwa ajili yako na kukufanya uonekane mwanaume wa maana. You should do the same. Ukiwa negative hata jf tu itakuchosha.
A soul sister ameongea hapa!
 
Tatizo maujuz yameniishia niPM bac unipe dokezo!

Haya mamito.
Ila nipe kwanza nilitest ili hata nikikuelekeza nijue mapungufu aliyonayo na jinsi ya kukabiliana nayo.
Usininukuu vibaya best.
Lol
 
bila kumsahau snowhite...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…