Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]hatariii
 
Umeona eehh!maana zile Nazo kumeza yataka moyoo kaahh
 
Sawa mmeelewa kaka
 
[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]upoooo????nyonyoooo[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Yaani nilipata picha kaniwekea vidole kama hivi;[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]upoooo????nyonyoooo[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Hahahahahahaha nimekumbuka last week kuna jamaa alikuwa ananitongoza basi ni vile anaongea sanaaaa na akiongea Mara aniambie upo nyonyo'" Sijui nini ....

Nikaona hapa hakuna mwanaume hapa nikasubiri amalize ujinga wake ....nikamwambia Mimi sikutaki kabisaaaa siwezi kua na mtu anaeongea kama wewe ....sipendi mtu mwenye maneno mengi kama chiriku
 
Hahahaaaa!!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]pole mpenzi wangu...!!!zinatoka hata na antibiotics km Doxy,blufeni (juzi hapa mdogo wangu amepata miscarriage alikunywa blufen hakujua kama ana mimba)
Lkn baadae si alienda kusafishwa?
 
Upo nyonyo?..mwanaume rijali hawezi kuongea huu upupu
 
Misimamo yangu miwili katika maisha yangu..
1.sitashiriki kutoa mimba au kushauri mimba itolewe..

2.sitakana mimba nikihakikisha Ni yangu..

Nashukuru mpaka sasa sijawahi go against my principle.Kuna mambo tunafanya kwakweli yanatutia mikosi tu
 
Mimba ya week 4 sio mtu huyo tayari, so sioni kosa kuitoa ikiwa bado hamtaki kupata mtoto. Nikiwa kwenye hiyo nafasi nitafanya tena na tena wala sioni ubaya wowote. I am pro-abortion
 
Mkuu kuua ni kuua tu sio lazima kawe ka-embroy or zygote ndo ihesabiwe umeua. Kumwaga manii/shahawa chini au kwenye kondom nayo ni kuua pia. Kwenye hili dawa ni kusoma kalenda vizuri basi
Sasa umetumia condom kafa nani!?? This is bullshit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…