Walio karibu na Heche mlindeni sana

Walio karibu na Heche mlindeni sana

Acheni kuleta taharuki za kishamba, huyo boya kama dola ikimuhitaji kweli basi inamchukua mchana kweupee mbele yenu na hakuna kenge yeyote wa kufanya chochote.
Dola ipi we mjinga? Hiki kinachoongoza nchi KIMABAVU, ni kikundi cha KIGAIDI tu. Hakina baraka za Watanzania. Hakuna aliyepigia kura hawa MAFEDHULI.
 
Dola ipi we mjinga? Hiki kinachoongoza nchi KIMABAVU, ni kikundi cha KIGAIDI tu. Hakina baraka za Watanzania. Hakuna aliyepigia kura hawa MAFEDHULI.
Chadema ndo wananchi we mbwiga?!! Hiko ni kikundi Cha mawakala wa mashetani watoa kafara za damu wanaosaka madaraka. Kamweee, hamtoiangusha nchi hii. Jipeni moyo tu humu JF mliko na ids buku buku.
 
Huu mwezi wenye majina yanayoanza na herufi ya JSAE wawe na tahadhari, kwenye ulimwengu wa roho hali si hali,
Na Emmanuel Nchimbi alindwe sana na wasaidizi wake, wapi anaenda, anashika nini, anakula au kunywa nini.
Josephat Gwajima awe makini August hadi septemba, hayuko salama na wanaweza kumtengenezea mashtaka,
Asijiamini sana, awe tahadhari.

Ni maneno ya Nabii wa Ishara Tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom