kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,653
Akilala halindwi?Mwenzao akienda kulala anakula mahindi ya kuchoma wao wanakula kitimoto na bia
Sent using Jamii Forums mobile app
Akilala halindwi?Mwenzao akienda kulala anakula mahindi ya kuchoma wao wanakula kitimoto na bia
Ilikuwaje mkuu utupe hicho kisa kiufupi??Wale "wanaovaa" suti "wametandikwa" na "wanaovaa unyeke mwekundu" "wazee wa kuvimba" efu efu yuu jana Njombe
boss boss ...mtu wa mazoezi anajulikana tyuu...Ulinzi ni taaluma Mr.Wanamazoezi makali mno usione ukadhani.dont you daré..
Sent using Jamii Forums mobile app
mleta mada ninaunga mkono hoja yako.
huyu ni mmoja ya walinzi wanaoambatana sana na rais. kadili siku zinavyoenda anazidi kutoka kitambi. wajifunze kwa walinzi wa marais wa nchi zingine.
hata museven na kagame licha udikteta wao, kwenye misafara yao huwezi kuona mlinzi mwenye kitambi.
View attachment 1066857
watz ni washamba sans. mna wa-over rate sana hawa watu. mnadhani wao ni super humans. hamna kitu hapo.Huyo jamaa kwa macho tu, yupo fit vibaya.. second 30 nyingi, kaisha kupoteza ukienda nae hand to hand..... msichukulie poa hiyo miili
😉😉😉😉watz ni washamba sans. mna wa-over rate sana hawa watu. mnadhani wao ni super humans. hamna kitu hapo.
Sasa wewe likitokea ambush pale wataweza kumbeba na kukimbia nae? Nyie mnachukulia ulinzi kipoa poa.Unadhani rais hayuko salama kisa vitambi vyao?
Kwa hiyo wewe ni taifa? Kama unakitambi katapike ulivyokula.Hii sasa kejeli zimezidi wahusika mko wapi?mtu anatutukana laivu?hawa ndo watu wa kuwashughulikia haiwezekani mtu kukejeli taifa halafu anatazamwa tu kana kwanba hakuna serikali
Huwezi hata siku moja kumng'oa rais mikono mwa kile kikosi chenye vitambi.Sasa wewe likitokea ambush pale wataweza kumbeba na kukimbia nae? Nyie mnachukulia ulinzi kipoa poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi hata siku moja kumng'oa rais mikono mwa kile kikosi chenye vitambi.
Utaendelea kuwaona na vile vitambi hadi siku unafariki.
Kaa ujifunze mengi.Ndo maana wadau wanasema tanzania kumetulia. Ingekuwa sudan kusini. Mwenyekiti angeshawatimua kitambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawazungumzia hao 'mashati' wa Tiss.ila huyu jamaa wa mbele kajitahidi kidogo kupungua maana alikua bonge balaaView attachment 1066090
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachekacheka sana, tena yule mweusi kuna siku alikuwa anasinzia kabisa mbele ya kamera ile siku nilijua viongozi wake wakimuona wangemuondoa kabisa.Huyu mweusi hata Mimi ninegundua ana kauzembe Fulani yaana umakini umepungua .
Siku hizi kaanza kuwa mfuatiliaji wa hotuba za Rais na anacheka kabisa wakati mwezake alikuwa bize sana kutizima usalama wa mzee baba
Hata ADC afande nae naona hayuko makini kama brigedia naniliu yule alipewa majukumu mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiishi kwa kukremu ndugu yangu.Habari!
Leo niliamua kushangaa kidogo ufunguzi wa kiwanda cha unga wa mahindi hapa kambi ya Mlale Songea! Nimefanikiwa kuwa mbele mbele kidogo hivyo tukio zima nimelishuhudia vyema!
Kuna haka ka changamoto ka walinzi wa raisi kuwa na vitambi plus unene usio na mpangilio, hivi hii imekaaje?
Yaani na mazoezi yote wanayofanya bado wanafuga vitambi? Jeshi haliwezi kupanga refresher trainings za kuwaporomoa vile vitumbo?
Kwa nini wasijifunze toka majeshi ya wenzetu?
Raisi anakonda, walinzi wake wananenepa!
Nashauri: Mtu akishindwa kuporomosha tambi lake aondolewe kwenye list ya walinzi wa The first One!
Wanajeshi nanyi hivyo vitambi mnavyofuga mviporomoe asee! Kama mmeshindwa hilo mkapashe misuli kidogo huko makambini au in real battles!!View attachment 1066009View attachment 1066022View attachment 1066023View attachment 1066024
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Nasikia hivyo hao 'mashati' walilikoroga kwa 'fidi fonga U'.Wale "wanaovaa" suti "wametandikwa" na "wanaovaa unyeke mwekundu" "wazee wa kuvimba" efu efu yuu jana Njombe
Nasikia mkulu alimsifia 'njagu' aliyejazia yaani full mayoko, akasema natama wote mngekuwa km yule policie so hii ishu ikaleta chuki kwa wazee wa mashati, na upinzani ukaanza hapo.