IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,028
Rais wetu tunampenda sana,chagueni walinzi aged vijana wenye nguvu wapo naamini tena wengi.
Mtu mwenye kitambi kivyovyote utendaji wake hauwezi kuwa na ufanisi wengi wao wana bp na sukari.
Na kitambi ni ishara mtu hafanyi mazoezi.
Unaweza ukatetea wale kazi yao sio kulinda wapo walinzi maalumu wa mapambano.,Mimi nasema hapana coz wale ndio image kuu ya ulinzi wa Rais ndio tunaowaona.
Na kazi anayofanya mh Rais naamini ana maadui wengi sana,hivyo lazima alindwe na watu wenye miili ya kazi.
Wenye vitambi wapewe majukumu mengine.
Naipenda Tanzania.
Mtu mwenye kitambi kivyovyote utendaji wake hauwezi kuwa na ufanisi wengi wao wana bp na sukari.
Na kitambi ni ishara mtu hafanyi mazoezi.
Unaweza ukatetea wale kazi yao sio kulinda wapo walinzi maalumu wa mapambano.,Mimi nasema hapana coz wale ndio image kuu ya ulinzi wa Rais ndio tunaowaona.
Na kazi anayofanya mh Rais naamini ana maadui wengi sana,hivyo lazima alindwe na watu wenye miili ya kazi.
Wenye vitambi wapewe majukumu mengine.
Naipenda Tanzania.