Walinzi wa Rais kufuga vitambi imekaaje?

Walinzi wa Rais kufuga vitambi imekaaje?

Kweli nimeamini hakuna Binadamu ' Mwembamba ' duniani labda aliyekonda na mkondaji ni GENTAMYCINE tu peke yake. Hongereni sana Walinzi ( Bodyguards ) wa Rais wa ' Madafu Nation ' kwa Kunenepa sana hadi wengine Matumbo yao yanataka Kupasuka kabisa.

Nawasilisha.
 
Ishu sio kunenepa au kukonda cha muhimu kutimiza majukumu ya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Najaribu kuwaangalia na wa Marekani, China, Urusi, Korea Kaskazini na Rwanda naona wengi Wao ni Wembamba na Kwao Kunenepa ' hovyo ' siyo sehemu yao ya ' Maadili ' ya Kazi zao hizo. Halafu Kinachonishangaza zaidi wakati Walinzi ( Bodyguards ) hao wa Rais wa ' Madafu Nation ' wakiwa wanazidi Kunenepeana tu Yule Mpambe wa Rais ( ADC ) Yeye yupo vile vile na anaonekana yupo ' Fit ' na anazingatia mno ' Maadili ' yake ndiyo maana hajajisahau na kuruhusu Mwili wake ' Uumuke ' ghafla kama hao anaoshirikiana nao Kiulinzi.
 
Mwenzao akienda kulala anakula mahindi ya kuchoma wao wanakula kitimoto na bia

Umejuaje Mkuu? Kuna Mmoja hapo nasikia ukitaka umfurahishe kama ukiwa nae mnunulie ' Noah / Nguruwe ' na ' Bia ' atakuwa Rafiki yako mkubwa kweli. Kunenepa Kwao hivi sidhani kama kunaleta Picha nzuri japo najua kuwa wana uwezo mkubwa, wameiva na wamepikika kwa hilo Jukumu zito. Wasijiachie sana na wasimuige Yule Mmoja wao ambaye nilishamuanzishia ' Uzi ' hapa hapa JamiiForums japo naona ni kama vile huyo Jamaa amewaambukiza ghafla hawa Wenzake Kunenepeana hivi.
 
Ulinzi ni taaluma Mr.Wanamazoezi makali mno usione ukadhani.dont you daré..
Najaribu kuwaangalia na wa Marekani, China, Urusi, Korea Kaskazini na Rwanda naona wengi Wao ni Wembamba na Kwao Kunenepa ' hovyo ' siyo sehemu yao ya ' Maadili ' ya Kazi zao hizo. Halafu Kinachonishangaza zaidi wakati Walinzi ( Bodyguards ) hao wa Rais wa ' Madafu Nation ' wakiwa wanazidi Kunenepeana tu Yule Mpambe wa Rais ( ADC ) Yeye yupo vile vile na anaonekana yupo ' Fit ' na anazingatia mno ' Maadili ' yake ndiyo maana hajajisahau na kuruhusu Mwili wake ' Uumuke ' ghafla kama hao anaoshirikiana nao Kiulinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom