mashonga
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 612
- 997
hao utaratibu wao ni mzuri sana ila nadhani hapa kwetu hayaingatiwi sana maana labda Rais hana tishio lolote linalomkabili hivyo ulinzi unakua ki mkwara zaidi na mbwembwe, maana mfano kama juzi Mh alikua uwanja wa majimaji ila juu kuna helkopta 2 zinazunguka juu!!Yes, ni ngumu. Ila kwa wenzetu, wangekuwa wanarudi refresher courses mf miezi 3, ukirudi uko fit kabisa. Au kuna kupangiwa kazi ingine wanaingia wengine. Mf pale Vatcan, walinzi wa rais huwa na 25 yrs, ukizi tu, unapunguzwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app