GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,449
- 127,624
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahindi saa6 za usiku daaahMwenzao akienda kulala anakula mahindi ya kuchoma wao wanakula kitimoto na bia
Huyo huyo tunaemuongelea achana na cdfYupi huyo?
Huyo huyo tunaemuongelea achana na cdf
Pesa.....Kweli nimeamini hakuna Binadamu ' Mwembamba ' duniani labda aliyekonda na mkondaji ni GENTAMYCINE tu peke yake. Hongereni sana Walinzi ( Bodyguards ) wa Rais wa ' Madafu Nation ' kwa Kunenepa sana hadi wengine Matumbo yao yanataka Kupasuka kabisa.
Nawasilisha.
Pesa.....
Sana tuKwahiyo unataka kusema kuwa na Mimi GENTAMYCINE Siku ' nikizikamata ' nami ' nitaumuka ' kama hao Majamaa?
Watanzania wengi walivyo hata akipata kazi kwenye kampuni nzuri inayojari wafanyakazi wake kwa kuwa na canteen yenye menu nzuri basi unenepa kama kiboko.Kweli nimeamini hakuna Binadamu ' Mwembamba ' duniani labda aliyekonda na mkondaji ni GENTAMYCINE tu peke yake. Hongereni sana Walinzi ( Bodyguards ) wa Rais wa ' Madafu Nation ' kwa Kunenepa sana hadi wengine Matumbo yao yanataka Kupasuka kabisa.
Nawasilisha.
Mkuu naomba kufahamishwa clips ni chakula cha aina gani?".... akalipia buffee mimi na yeye 50,000= yeye akawa busy kula salad na clips..."
Ni crips, ila sijui kama ni chakula au kitafunwa.Mkuu naomba kufahamishwa clips ni chakula cha aina gani?
Ni crisps badala ya crips au clips.Ni crips, ila sijui kama ni chakula au kitafunwa.
Nenda jukwaa la lugha huku umepotea njia.Ni crisps badala ya crips au clips.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahindi saa6 za usiku daaah
Membe Jr
Wewe jamaa unajifanya mjuaji Sana..Unavyoniambia kuhusu huo Uwezo wao Kiutendaji unanikumbusha tu au unadhani labda sina a,b,c's zao. Sina tatizo na hilo ila wasijiachie sana Kimiili basi!
Sawa mkuu. Lakini pia ni vizuri tukubali kukosolewa pale tunapoandika vitu kimakosa. Mfano umeandika kimakosa maneno kama clips na crips badala ya crisps, muhindi badala ya mhindi, superviser badala ya supervisor, buffee badala ya buffet. Ukiamua kuchanganya lugha na ukakosea ikitokea umerekebishwa kwa nia nzuri basi usikasirike.Nenda jukwaa la lugha huku umepotea njia.
Aya = Haya