Unajua kazi ya ualimu, hususan ualimu wa chekechea na shule ya msingi ni lazima uwe na upendo wa kweli na watu hasa watoto. Sasa huo upendo una trickle down hadi kwenye mapenzi ya kindoa.
Kuwa mwalimu wa chekechea au msingi halafu usiwe na subira na upendo basi wewe utakuwa uko kwenye hiyo fani kuchukua paycheck tu.
Pia manesi nao huwa ni wake wazuri sana. Tena hawa mimi nadhani wanakuwaga wake wazuri mno kushinda hata walimu.
Doktari anajilia kiulaini.MKuu manesi ni wake wazuri ninaposhindwa ni night.
WANASHERIA NA WAHANDISI NDIO WANASHIKA MKIA. Walimu wanajua malezi!
Michango ya wote!!!! toba!! utachangia mwakani watu wakimaliza kuchangia tehe, teheWakuu japokuwa nimechelewa kuingia MMU hii mada nimeipenda, ngoja nisome michango ya wote then ntatoa Wangu!
Je, vp kuhusu wamen polisi?Jamani msinitafutie sababu, hapa tujifunza.
hawa sio sana japo wanajitahidi kuwa na maadili... wewe oa mke mwalimu wa primary uone....hata kama una buku siku hiyo una uhakika wa kula
<br /><span style="font-family: comic sans ms">Wengi wao wana maadili.</span>
<br />True, wanaume wazembe hukimbilia wanawake kama walimu ili wawaonee vizuri. Mie binafsi naona walimu hawana changamoto kwanza wanaboa, they r too overdecent.
<br /><br /><br />
<br /<br />
Hiyo ni kweli hata walimu wengi ninaowafahamu wameolewa. Pamoja na maadili lakini naona hata kwa malezi ya watoto maana hawana semina na safari za mara kwa mara
<br />Pia msisahau kuwa wasichana wengi wazuri huwa hazichaji sana darasani kwahiyo wengi wao huishia kuwa walimu wa shule za msingi na sekondari kama amejivuta kidogo. Ukitaka kuthibitisha hili tembelea vyuo vya ualimu utafikiri wasichana wazuri walichujwa wakapelekwa huko.
Mkuu bujibuji yaani nafanya mpango huo, naona ndo sehemu pekee ninayoweza kujisikia nimeoa. Huko kwingine, hakufai ni wasumbufu, wako busy, ukioa hakuna tofauti na maisha ya geto ingawa si wote.
<br />
<br />
mbona social sciences kuna wanawake wazuri sana. Au nao ni vilaza?