Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,582
I love teachers and nurses!
Me too.
I love teachers and nurses!
<br />I love teachers and nurses!
Si fani na bahati pia.Pia walimu hawajifanyi matawi ya Juu kama hawa dada zetu kutoka elimu ya juu ndo maana wanakosa wachumba.kumbe ndo maana siolewi bwana ngoja nibadilishe fani naenda ualimu wa chekechea kabisa
nikuoe?Kumbe ningekuwa mwalimu
ningeshaolewa.
Ninge mbayaaa aisee
Si fani na bahati pia.Pia walimu hawajifanyi matawi ya Juu kama hawa dada zetu kutoka elimu ya juu ndo maana wanakosa wachumba.
Wa benki kwanza wanachungulia account yako imekaaje !!!!!!! Ina dbit balance au credit. Transaction zinaendaje.
Manesi wana upendo wa ajabu kweli. Ni wazi si manesi wote lakini ile kazi bana huwezi kuifanya kama kwa asili wewe si mtu wa upendo kwa watu.
Na hizo zamu za usiku wala si ishu.
Wang'wa baba, hii ni issue kubwa kama mkeo si mwaminifu na mcha MUNGU. Huwa ni rahisi sana kuchiti na madaktari huko Hospitalini wawapo zamu usiku. Utafiti uliofanywa TZ imegundulika kuwa hata viwanda vyenye shifti za mpaka usiku vina wagonjwa wengi wa ukimwi maana wanazungukana humohumo, leo yuko na fulani kesho yuko na fulani. Mtu mmoja pia aliyekuwa anafanyakazi Swissport aliniambia kuwa Swissport kuna ufuska uliovuka mipaka. Wake za watu wanabadilisha wanaume kutokana na aliyezamu naye usiku huo na wanaume hivyohivyo. Kazi za usiku kwa ujumla hazifai kabisa.
<br />I love teachers and nurses!
ma Doctor na ma Lawyer wengi wao wanajifanya wajuaji,wao ndiyo wenye busara,wasomi.Ukiwa nae ni mi arguments tu!
hawa sio sana japo wanajitahidi kuwa na maadili... wewe oa mke mwalimu wa primary uone....hata kama una buku siku hiyo una uhakika wa kula
Operative word there is "wanajifanya".
Unamaanisha nini?
lakini siyo hata kwenye inshu ambazo ziko wazi tuanze bishana,kuonyesha nani ni more knowledgeable.