Walimu waongoza kwa kuolewa ukilinganisha na sekta nyingine

Umefanya utafiti wa kujua hao wenza wa walimu? mostly ni walimu wenzao au watu tu, walimu hawana machaguo sana kama sekta nyingine.
 
Sasa ukitaka kumpata mwalimu umuoe utakutana nae wapi?

Maana unaweza kukuta mazingira yako ya kazi hakuna interaction na waalimu
 
Kumbe <font color="#B22222">ninge</font>kuwa mwalimu<br />
<font color="#B22222">ninge</font>shaolewa.<br />
Ninge mbayaaa aisee
<br />
<br />
ni pm ntakupa ofa hata kama cio mwalimu
 
Umefanya utafiti wa kujua hao wenza wa walimu? mostly ni walimu wenzao au watu tu, walimu hawana machaguo sana kama sekta nyingine.
<br />
<br />
wanaridhika kwa maisha ya aina yoyote ile!
 
This is very true,
Hata mimi lazima nivute teacher kwani kazi yao tu in nature ni kulea watoto (wanafunzi) kwa kuwafundisha madili mema. kwa mtazamo wangu walimu wataendelea kuongoza kuolewa ktk sector hii ya ndoa
 
Ni kweli, mimi nimeoa mwalimu yaani ndoa ina miaka sita mpaka leo hata hakuna dalili ya kuhisi kuibiwa (sana sana mimi ndo huwa nakoswa koswa), af anatake care ya familia mpaka najiona proud kumwoa mwalimu. Jamani walimu wako juu.
 
Wanaume wengi hawapendi wanawake wenye vipato vya juu. Hivyo mostly walimu ndo wanyonge wao, lol

True, wanaume wazembe hukimbilia wanawake kama walimu ili wawaonee vizuri. Mie binafsi naona walimu hawana changamoto kwanza wanaboa, they r too overdecent.
 
Je, vp kuhusu wamen polisi?Jamani msinitafutie sababu, hapa tujifunza.
Very complex,nadhan psychiatry medicine huwa inawavuruga akili,they thnk they know everythng,i had a girl at Muhas by then,nili mdamp kulee!&lt;br /&gt;
<br />
<br />
 
Nimemaanisha hiki



Hakuna kitu kinachonikera kama kubishania kitu ambacho kiko wazi. It's a wastage of time, breath, and effort.

Yaani hicho kitu ndo kinachinisumbua saizi na mtu ninayetarajia kumuoa. She is too much on that. Sijui kwa sababu ya Bsc yake, anyway am counting on her inaboa sana.
 
kweli kabisa soko lao lipo juu hata,sheji yenu ni mwalimu pia hana mbwembwe za maisha na hakuna headache,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!
 
Hii ni kweli hata mimi nikimpata mwalim naoa kabisaaa kwani niwavumilivu sana m2 wangu.
 
tafiti yako ni ya kweli maana kweli walimu some how wanatabia ambazo zinaweza kuwa tofauti japo si wote hasa katika uvumilivu katika ndoa may be kwa sababu ya interaction za wanafunzi na tabia mbalimbali wanazoziona mbele ya wanafunzi wao na jamii inayowazunguka
 
Mimi mwenyewe ingawa nipo single till now ila walimu nawafagilia sana sana!!! They are my best candidate for a wife!
Nimetembelea shule kadhaa kwa ajili ya kuzindua mradi wa chakula shuleni. Nimekuta mabinti wadogo wadogo wakiwa na pete zao za ndoa.
Hiki ni kiashirio tosha kuwa soko la walimu kwenye sekta ya ndoa liko juu ukilinganisha na wafanyakazi wa benki, ambako kwenye wasichana 12 ni mmoja tu ndo mwenye ndoa.
Hongera sana walimu.
 
Back
Top Bottom