<br />mm mwenyewe nitaoa mwalimu ..huyu binti akiniletea longo longo baci namwoa mwalimu
<br />
haya itabidi umnunulie gloves, mask asipate vumbi la chaki...na bili ya maziwa
<br />mm mwenyewe nitaoa mwalimu ..huyu binti akiniletea longo longo baci namwoa mwalimu
<br />Kumbe <font color="#B22222">ninge</font>kuwa mwalimu<br />
<font color="#B22222">ninge</font>shaolewa.<br />
Ninge mbayaaa aisee
<br />hata hawa walimu wa vodafasta?
<br />Umefanya utafiti wa kujua hao wenza wa walimu? mostly ni walimu wenzao au watu tu, walimu hawana machaguo sana kama sekta nyingine.
why not doctors?
Wanaume wengi hawapendi wanawake wenye vipato vya juu. Hivyo mostly walimu ndo wanyonge wao, lol
<br />Very complex,nadhan psychiatry medicine huwa inawavuruga akili,they thnk they know everythng,i had a girl at Muhas by then,nili mdamp kulee!<br />
Nimemaanisha hiki
Hakuna kitu kinachonikera kama kubishania kitu ambacho kiko wazi. It's a wastage of time, breath, and effort.
<br />ma Doctor na ma Lawyer wengi wao wanajifanya wajuaji,wao ndiyo wenye busara,wasomi.Ukiwa nae ni mi arguments tu!
Nimetembelea shule kadhaa kwa ajili ya kuzindua mradi wa chakula shuleni. Nimekuta mabinti wadogo wadogo wakiwa na pete zao za ndoa.
Hiki ni kiashirio tosha kuwa soko la walimu kwenye sekta ya ndoa liko juu ukilinganisha na wafanyakazi wa benki, ambako kwenye wasichana 12 ni mmoja tu ndo mwenye ndoa.
Hongera sana walimu.