MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 8,251
- 22,029
Namba mbili unakosea sanaKwemye Kizazi Changu, nitapiga marufuku watoto kufanya kazi za
1.Ualimu
2.Trafk & Police
3.Boda boda
Namba mbili unakosea sanaKwemye Kizazi Changu, nitapiga marufuku watoto kufanya kazi za
1.Ualimu
2.Trafk & Police
3.Boda boda
Hahaha kumbe walimu Wana Dili na taahira humuNaunga mkono hoja, walimu ni tatzo katika nchi hii hasa wa shule za msingi kama wewe Mpwayungu Village
Image wewe mwenyew mleta mada kwa kinywa chako ulikir kutamani kuwa mwanamke mbele ya kadamnasi
Ualimu ni laana
Umenikumbusha shule ya msingi tulikua na mwalimu mmoja wa stadi za kazi, alikua ana kichaaaa.. alikua anatembea na genge zima. alikua anabeba msafara wa wanafunzi wambebee mazaga yake. Anauza matunda aina zote mpaka mapapai na parachichi. anapita darasa kwa darasa..Hawa walimu Kuna mda huwa nawaza ni binadamu wenzetu kweli? Kuna vitu wanavifanya utafikiri hawajasoma vile. Wanakopa too much mpaka wanaacha kadi kwenye vitaasisi vya mikopo kama bayport na plutnum credit.
Nipo apa duka moja la mangi ananiambia walimu wote wa shule jirani huwa wanaenda kukopa unga, sukari hadi kiwembe cha Mia, jambo Zito mpaka mkuu wa shule kaacha kadi kwa madeni madogo madogo kwahiyo mangi huwa anatoa pesa yake itakayobaki anampa ticha
Jambo bovu na lakijinga hawa watu Kila kazi wanataka mpaka za sensa na uchaguzi labda kwasababu mishahara yao midogo ila yaliyotokea oktoba 29 main source ni walimu.. Vituo vyote vya kupigia kura wasimamizi wakuu walikuwa ni walimu nandowalishiriki kutiki makura feki. Hawa watu hawa dahhh!!! View attachment 3531357
Niwie radhi mimi sio mwalimuMchawi wa mwalimu ni mwalimu unatukana walimu wenzako ujui ni laana hiyo
WanazinguaIla mshikaji walim walikukosea nn yaaan saa kumi na mbili umeamka unawawaza walim 😀😀😀ila nao wamezidi wanakopa mpaka wembe
Wanajizima data hawa pori poriSafi sana mkuu welcome back..piga spana hawa wazee wa chaki akili ziwakae sawa.
Yupo sahihi kwa asilimia mia mojaKuna mwalimu mmoja alisema ukisaini kufanya kazi ya ualimu utakuwa umejitakia umasikini wewe na kazazi chako. Aliona kwenye ualimu kuna ufukara mwingi!
Mimi sirogeki walitaka kufanya hivyo ila mungu kawakataaWaliokuzushia kifo itakuwa waalimu
Dua la kuku halimpati mweweSi mlisema Mpwayungu Village amefariki? na Tanzia iliwekwa humu?
Ndowalipo tufikisha hapa ndioHivi ni walimu kweli ndo waliosababisha tutumie vpn kuingia jf?
AiseeUmenikumbusha shule ya msingi tulikua na mwalimu mmoja wa stadi za kazi, alikua ana kichaaaa.. alikua anatembea na genge zima. alikua anabeba msafara wa wanafunzi wambebee mazaga yake. Anauza matunda aina zote mpaka mapapai na parachichi. anapita darasa kwa darasa..
Yule mmaza alikua na njaa.. Akifika anafanya kwanza biashara anaangalia mmenunua kias gani, mkinunua kidogo anaanza kuwapiga kwa makosa ya kipumbavuuuu utaskia anakagua daftari za hesabu au za kiswahili.. Yaani masomo hayamuhusu anawazibua. Pona pona yako nunua chungwa au ubuyu, au crips za mihogo.
Na akiona kuna bidhaa imebaki ambayo haina wateja basi hiyo ataiuza kibabe. anakuja na fimbo na fuko lake lake, anakupa option mbili tu mezani, chagua kununua mzgo au kupigwa.
Katutesa sana mbwa yule, ateseke huko kuzimu.
Ni ajira ya laana nivile tu njaa zinawasumbua ila huwezi kuwa na akili timamu ukachagua kuwa mwalimuKuna ndugu yangu mmoja aliajiriwa mwaka 2004 na sasa hivi n mwalimu mkuu lakini ndugu zanguni hajawai hata kujenga hata banda la kufugia kuku ni shda yan n mtu wa kulia shida kila mda hadi jina lake ni teacher brop.. Na wote tunamwita ticha brop na anaitika kweli kwan hajui tulimaanisha nin {problems tuliibadilisha kuwa broplems ili asielewe}
Shule yetu ilikua barabarani. Akawa akishuka kwenye daladala tunamkimbia, maana alikua anashuka na mizigo mingi (kipindi hiko usafiri ulikua vipanya). mzigo ulikua ni mwingi kiasi kwamba ilibidi ukae kwenye buti. alihitaji takliban wanafunzi watano kubeba mizigo yote kwa mara moja.Aisee