kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,304
Acha roho ikuume sana tu aiwezekani upuuzi kama ule wa juzi uvumiliwe kamwe,eti apewe nafasi ya kujitetea ajitetee nn sasa
Kweli walimu wanaonewa sana!!mungu yupo
Shule inaitwa Augustino Regnald
Teteteteeee....mhhh hapo pagumu ....maana kuna Mwalimu aliuwawa hiv hiv kiutan utani maana huku uchaw usisemenikikushindwa physically NAKUROGA sina mchecho mchezo na mwanangu mimi
[HASHTAG]#sipendagi[/HASHTAG] ujinga
Teteteteeee....mhhh hapo pagumu ....maana kuna Mwalimu aliuwawa hiv hiv kiutan utani maana huku uchaw usiseme
Bro kama ww unachukulia hiyo salary ni ndogo sisi tumeisotea miaka zaidi ya kumi kwetu kubwa mno ww mwenye mshahara mkubwa sio mtanzania sema si tunakubali kila jamii inamatabakaNa salary yenu ya laki 2 na nusu! Kweli mnaonewa..!
Chakulia ww ndio umedundwa ngumi na Mwanafunz mbele ya darasa utafanyajeHoja inatetea upande wako kama mwalimu lkn jua skopioni ni yeye na hajafanya katika sekta but huyo mwalimu ni kafanya ujinga katika wizara kubwa tz nakipndi kibaya. Wacha muwajibishwa et skopioni wee
Utaachaje kaz ya ualimu hili ndio kimbilio la wasiojiweza kiuchumi kama mm nyie matajiri mtakubali kuchapwa fimbo huku unajua unakitu kinachokuingizia pesa zaidi ya kazi yakoAtakula nn mkuu
mfundishie hom mkuu,anakuaje nunda kwenye kaz za watu?Sio kwa kipigo kile aisee kama wanaua mamba?? Tena ingelikuwa ni mwanangu mbona hiyo shule wangeifunga
ovyo mimi au ovyo ww na mwanao?Ovyo!
Samahani ... Sikumaanisha kukejeli bali kuwapa hasira tu ya kudai maslahi!Bro kama ww unachukulia hiyo salary ni ndogo sisi tumeisotea miaka zaidi ya kumi kwetu kubwa mno ww mwenye mshahara mkubwa sio mtanzania sema si tunakubali kila jamii inamatabaka
ahsante sana scorpion usije nitoboa macho bhana

Labda ni Mishahara haitoshi />
Kwa tabia hii mutanyanyasika sana
awa hapa waalimu wengine wakimpa kichapo mwanafunzi.
Acha kusomea ualimu fanya biasharanikiwa kama mwalimu mwanafunzi wa UDSM roho inaniuma pale mwalimu anapojulikana kafanya kosa lakini apewi nafasi ya kujitetea kwa nini kafanya kosa na anahukumiwa moja kwa moja au kushushwa cheo na selikali LAKINI mualifu sugu tena muuaji ameua au amezulu watu eti wanasema uchunguzi unaendelea wakati inaelewka kabisa na pia anapewa mda wa kujitetea lakini mwalimu hapewi badala yake inapigwa simu tu kwamba awajibishwe...kwa nin na waalifu sugu km SCMPN mpaka sasa wanamuangalia tu wakati walimu menzetu wameachishwa chuo na wengne kufukuzwa kazi......ROHO INANIUMA SANA WALIMU WENZANGU...
Ndo maana anakwmbia kuwa bado yuko chuoni, hivyo bado anajifunza kuandika acha wenge kijana......ila walimu na ninyi mmezidiChuo mnafundishwa kuandika bila nukta,koma na aya?
Hivi wewe unaweza kumfundisha mwanafunzi?