Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,594
Hiyo laki 5 bado sana kwa maisha ya sasa hivi! Badala mpiganie maslahi yenu mnakuwa "Defensive!" Nina wadogo zangu walimu, hivyo najua nachozungumzia ..Tsh565,000 ndio wanabaki nayo,sasa kwani hujui kuwa walimu wa sekondari wana degree.
Na wa msingi ni Tsh419,000 hivyo bado umepotosha hapa.
Pia msingi kuna walimu wengi wana degree.