Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Wapigwe tu maana hakuna namna.Nikijua ndio utakapojua
Wapigwe tu maana hakuna namna.Nikijua ndio utakapojua
Kila mtu ajiangalie mwenyeweFundisha lakini usiangaike na mtoto wa mtu acha apambane na wazazi wake!..mtoto si wako unamrekebisha bdae unageuziwa kibao ya nini?acheni kila mzazi apambane na mtoto wake atajijua mwenyewe.wazazi wenyewe ndio hawa wanashabikia ujinga hamna kitu ni hewa tu!..
Wee naye....??Uandishi wako sio Wa kiualimu,amezulu,apewi
Mkuu una uhakika gani huyo alipigwa na walimu ni mtoto?.Kosa la Scorpion halihalalishi makosa ya walimu
Scorpion uhalifu wake ni kwa watu wazima
sio kwa watoto wadogo
walimu ni wazazi pia......hasira zenu msipeleke kwa wanafunzi
Lengo lako la kuulizia mishahara yao ni nn..... Unataka uwapatie Msaada??Ikikatwa makato hiyo unabakiza Tshs ngapi? Na ni kwa mwalimu wa degree nafikiri! Je! Hao wa msingi?
Kama inawatosha basi sawa ...Tatizo mwanzo umekuwa muongo wakati hujui,inatosha sana kwa mwalimu aliyejitambua na kutumia muda wake wote kufanya mambo yake na shuleni kwenda kama ushahidi.
we mzee nilikuwa nakuheshimu ila kumbe ni wa hovyo sana.Mbona askari wanatoa vipigo na mnakuwa kimya.
Good advice ndugu, tatizo wakifeli wanajibia wao(walimu). Nahisi walimu wapo dilemmaFundisha lakini usiangaike na mtoto wa mtu acha apambane na wazazi wake!..mtoto si wako unamrekebisha bdae unageuziwa kibao ya nini?acheni kila mzazi apambane na mtoto wake atajijua mwenyewe.wazazi wenyewe ndio hawa wanashabikia ujinga hamna kitu ni hewa tu!..
Hivi una habar kuna walim wanapokea mpka milioni na ushee????achen kukariri nyie na ukae ukijua katika dunia hii hakuna mshahara mdogo!!!!Na salary yenu ya laki 2 na nusu! Kweli mnaonewa..!
niliamuaga ndio kiswahili gani??Mm ndio maana niliamuaga kubaki mwalimu wa primary
Mkuu mshahara ni siriHakuna Mwalimu mwenye mshahara huo mimi najua wanaoanza kazi ni Tsh716,000.
Acha kupotosha.
Labda ni Mishahara haitoshi />
Kwa tabia hii mutanyanyasika sana
awa hapa waalimu wengine wakimpa kichapo mwanafunzi.
Mwalim ni kama TOILET paper ukishachamba unaitupa.nikiwa kama mwalimu mwanafunzi wa UDSM roho inaniuma pale mwalimu anapojulikana kafanya kosa lakini apewi nafasi ya kujitetea kwa nini kafanya kosa na anahukumiwa moja kwa moja au kushushwa cheo na selikali LAKINI mualifu sugu tena muuaji ameua au amezulu watu eti wanasema uchunguzi unaendelea wakati inaelewka kabisa na pia anapewa mda wa kujitetea lakini mwalimu hapewi badala yake inapigwa simu tu kwamba awajibishwe...kwa nin na waalifu sugu km SCMPN mpaka sasa wanamuangalia tu wakati walimu menzetu wameachishwa chuo na wengne kufukuzwa kazi......ROHO INANIUMA SANA WALIMU WENZANGU...
