Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Tatizo Walimu wengi mapoyoyo hasa wale wa msingi,yaani hawajielewi kabisa,hawawezi kuwa mgomo baridi ili kuleta madhara zaidi kwa watoto wa masikini wanaopeleka watoto wao shule za serikali.kweli huu ni muda wa kila mtu kufanya yake. mwalimu atakua mpuuzi akiendelea kupewa adhabu na mwningulu na ndalichako kwa kumfuatilia mtoto mwenye wazazi wake.
Hivi naweza kutumia mbinu gani kuwahamasisha Walimu wa Tanzania waache kuwa busy na wanafunzi(watumie mgomo baridi bila kijionyesha kuwa hawafanyi kazi),mfano wanaandaa kila kinachohitajika lakini darasani wanawapa watoto matangopori.
Walimu hakuna anayewapenda AMKENI MSILALE.