Walimu bora wa shule za sekondari kwa nyakati zote hapa Tanzania

Huyo simwaba alikuwa anakuja hadi Ivumwe kupiga pindi muda wa asubuhi sana wakati wanafunzi wengine wakiendelea na usafi wa hapa na pale.

Yupo pia mwalimu Mwangosi alikuwa mtata sana na kichwa kwelikweli kwa somo la kiswahili pale Ivumwe.

Wapo akina mwalimu madam Masaili alikuwa naye upande wa language ,Yasini upande wa GEOGRAPHY na wengine wengi kutoka IVUMWE High school.kule vilijaa vichwa vitupu hasa Advance.

Pia alikuwepo mwalimu Mgonja pale Sangu high school kwa upande wa GEOGRAPHY.
Mkuu ivumwe umenikumbusha huyo madam wakat nipo olevel ila mwangosi hahaha mtata sana nakumbuka kesi yake etanatembea na mwanafunzi majibu yakenilicheka sana ila ivumwe pale olevel vilijaaa vichwa maji sana walimu wakqlilishaji
 
Mkuu ivumwe umenikumbusha huyo madam wakat nipo olevel ila mwangosi hahaha mtata sana nakumbuka kesi yake etanatembea na mwanafunzi majibu yakenilicheka sana ila ivumwe pale olevel vilijaaa vichwa maji sana walimu wakqlilishaji
A level ndio kulikuwa na vichwa NONDO sana. Madam Masaili nitamkumbuka sana katika maisha yangu pamoja na mwalimu mkongwa kama sijakosea jina alikuwa ni makamu mkuu wa shule.walinisaidia sana.nilikiwa nadaiwa Asa kubwa sana karibu ya mwaka mzima lakini walinitengenezea kitambulisho kwa amri yao ,wakati wengine walipata taabu sanaa kufanya mtihani wa mwisho.ambapo yalikuwa ni maelekezo kutoka juu kuwa asiyemaliza ada asifanye mtihani.

Lakini kwa upendo mkubwa madam Masaili na makamu kwa mamlaka yao wakasimamia kuhakikisha napata kitambulisho siku hiyo hiyo .tena walisimamia bila kuondoka.kiukweli Mungu awabariki sana popote walipo ipo siku nitakuja niwatafute nitoe shukurani zangu kwao maana wema walionitendea ni mkubwa sana ambao siji kuusahau katika maisha yangu.

Popote alipo madam Masaili na makamu wa wakati huo naomba kusema asanteni sana walimu wangu kwa upendo wenu kwangu. Mungu awabariki sana na abariki familia zenu.
 
History - Mtefu (RIP), na Language - Michael Simwaba (RIP). Wote kwa pamoja walikuwa Meta Secondary School Mbeya; enzi hizo.
Dah umenikumbusha hao watu...mm sikuwa nasoma language ila ilinibid niwe nahudhuria vipind vya simwaba kutokana na sifa nilizokuwa nasimuliwa na wenzangu...nilikua sikosi kipind
 
Inasikitisha, watu wanatofautiana uwezo wa kuhimili changamoto za maisha.
Inaweza ikawa ni ishu ya mapenzi??

Imenikuta(kikazi) kwa sabb tatizo/kuto match na boss. Bado nateseka sana.

Kinachonisaidia ni kwa sabb tu ni government si private otherwise......its hard to control
 
Mwalimu Nyemere wa Chemistry pale Mvomero Secondary mwaka 2000 alinisaidia nikaijua Chemistry na hata nilipoenda O Level PCB, Haikunitesa. Nilikuwa napoga sana yale Maorganic Chemistry.
Ukatoka A level na kuenda O level moj kwa moja, hahahaha
 
Kwa mtu uliyesoma Physics miaka ya 90 hadi 2000 lazima ushawahi msikia WIBONELLE wa Mzumbe... Mimi sikuwahi kumwona huyo mwalimu ila habari zake nilizisikia tangu mwaka 2000
Huyu Mwamba alinifundisha MODERN PHYSICS....ni balaa, na broken English yake, Assuming The Car is travelling with Zero Velocities
R.I .P WIBONELLE, jioni ulitushibisha wanafunzi kwenye Mgahawa wako wa bei CHEO Wali Maharage TZS 250/= plate
 
History - Mtefu (RIP), na Language - Michael Simwaba (RIP). Wote kwa pamoja walikuwa Meta Secondary School Mbeya; enzi hizo.
Daa umenikumbusha Simwaba, alikuwa na English imenyooka balaa. Basi alirekodi tape zake kuchambua kitabu cha The river between, nilikua naenjoy sana kusikiliza. Mzee wa fimbo sita assemble, sita darasani, sita ofisini 😆😆, walitushape vizuri sana kwa kweli
 
Mwl. Mudrick Tchambuli Geita secondary, Geography ulijua kuitendea haki vilivyo. Mungu aendelee kukuweka sana.
 
Mwl. Ewald Mateshi-Physics, B.W. Mkapa High School.

Huyu alikua mwalimu hasa... My all time mentor, Amestaafu sasa ila awe na uhakika kua kwangu alipanda mbegu na imeota na kustawi.

Huyu kama ulikua na kichwa cha kukariri jua tu hautaambulia kitu.
 
Mwl. Ewald Mateshi-Physics, B.W. Mkapa High School.

Huyu alikua mwalimu hasa... My all time mentor, Amestaafu sasa ila awe na uhakika kua kwangu alipanda mbegu na imeota na kustawi.

Huyu kama ulikua na kichwa cha kukariri jua tu hautaambulia kitu.
Usipokariri elimu ya necta utafaulu?
 
Watafuteni na muwapelekee zawadi maanake wamewatoa mbali na sasa wengine ni wazito Serikalini na wengine ni waheshimiwa ndani ya mjengo.
 
Back
Top Bottom