Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,285
Naomba tuwape heshima waalimu walioacha legacy inayodumu kwa wanafunzi wao. Mimi naanza na huyu.
Mwalimu Mnzava - Mbeya secondary (Mbeya Day)
Huyu mama alihamia hii shule miaka ya mwisho ya 1980s na alidumu hapo mpaka kustaafu kwake miaka ya 2010s. Kila mkuu wa shule alikuwa anakataa kabisa kukubali pale serikali ilipotaka kumhamisha.
HAKUWAHI kushika kiboko wala kuchapa wanafunzi miaka yake yote pamoja na kwamba alifundisha Mathematics (Basic and Additional) na Chemistry. Miaka mingi alifundisha O-level na kidogo A-level.
Alikuwa anazifahamu sana hesabu na alijua kufundisha kwa lugha nyepesi. Heshima za kutosha kwake.
Mwalimu Mnzava - Mbeya secondary (Mbeya Day)
Huyu mama alihamia hii shule miaka ya mwisho ya 1980s na alidumu hapo mpaka kustaafu kwake miaka ya 2010s. Kila mkuu wa shule alikuwa anakataa kabisa kukubali pale serikali ilipotaka kumhamisha.
HAKUWAHI kushika kiboko wala kuchapa wanafunzi miaka yake yote pamoja na kwamba alifundisha Mathematics (Basic and Additional) na Chemistry. Miaka mingi alifundisha O-level na kidogo A-level.
Alikuwa anazifahamu sana hesabu na alijua kufundisha kwa lugha nyepesi. Heshima za kutosha kwake.