Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Kuna jirani zangu mke alikuwa anapigwa mpaka damu inavilia usoni, alikuwa anapiga simu polisi mume anakuja kuchukuliwa asubuhi dada anawahi mapema polisi ku drop charges
 
Mimi sijaelewa,hoja ni kupiga wanawake tu au kupiga huku watoto wanaona?.?
 
Kuna jirani zangu mke alikuwa anapigwa mpaka damu inavilia usoni, alikuwa anapiga simu polisi mume anakuja kuchukuliwa asubuhi dada anawahi mapema polisi ku drop charges
Na baada ya hasira upendo unarudi vile vile.....
 
Na baada ya hasira upendo unarudi vile vile.....
Kabisa tena walimakiza kujenga nyumba yao wakahama lakini siku za mdundi ilibidi nikae na watoto na kuita police dada alinyukwa Kisa was sawa
 
Kupigana(kumpiga mwanamke)huwa ni kitendo kidogo sana cha kupishana kauli tu na kushindwa kudhibiti hasira,wanawake huwa tunawachukulia kama watoto hayupo mwanaume anayeweza kujibizana na mtoto na tunapowapiga siyo kwamba hatuwapendi bali nikuonyana tu kwa vitendo kwangu mm ni hivyo wengine wataongezea
 
Kuna jirani zangu mke alikuwa anapigwa mpaka damu inavilia usoni, alikuwa anapiga simu polisi mume anakuja kuchukuliwa asubuhi dada anawahi mapema polisi ku drop charges

Upendo uliopitiliza, ingekuwa kwa mwanaume angeshaambiwa kawekewa limbwata.
 
Back
Top Bottom