Wale wa fastjet safari hiyo inaanza byeee!!

Wale wa fastjet safari hiyo inaanza byeee!!

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,249
nyerere.jpg nyerere.jpg
 
Tupe habari zaidi maana nilisikia inaanza tarehe 29 november 2012
 
Nawaombea wasije yakawakuta kama yale ya Community Airline!
 
Watu wa Uchumi, hiyo kitu is it economical viable?
Mi najaribu kufanya mahesabu yangu hapa technically but....mhhhh!

Naomba mnisaidie aina (specs) za hiyo ndege nizidi kukokotoa revenue against expenditure.
Maana bado sijaelewa hizi gharama nani anazilipa.
 
Kama imeanza ni itadumu basi naona tutakuwa tumepata mkombozi katika sekta ya usafiri.
 
Msisahau kuongeza na vat hapo. Hyo 32000 haijalipiwa vat.
 
vat ni asilimia kumi ya bei kwa hiyo no tsh 3200 ukijumlisha ni tsh 35400 bado ni bei ndogo kuliko greeen star zitakuwepo dar arusha kweli,
 
MbonA naskia zile gharama nyingine zote unalipia wewe? ukijakumjulisha ni karibia na yale yale tu
 
Watu wa Uchumi, hiyo kitu is it economical viable?
Mi najaribu kufanya mahesabu yangu hapa technically but....mhhhh!

Naomba mnisaidie aina (specs) za hiyo ndege nizidi kukokotoa revenue against expenditure.
Maana bado sijaelewa hizi gharama nani anazilipa.

google - how budget airline make profit
 
mkuu hebu tuambie ukweli ni 32 tu au ni lugha ya kibiashara zaidi!!
ni kweli bei ni 32 elf tu pamoja na vat ushindwe wewe ila watu kibao ukichelewa kama unataka safili utaambiwa subili januaari na leo ndo wamezindua safari lasmi mkuu
 
wakiweka VAT itakua sh ngapi?

Mkuu Vat shud be 18% of the fare which comes to 37,760/=. i belive this is just a promotion fare and wont last for 2 - 3 months max. mark my words

 
aiseeeeeeee babaangu lazi nije dar kwa ndege naomba ritz,mzee wa rura,petra,kongosha,kin kong,mshumbizi.na zomba mje kunipokea airport
 
Back
Top Bottom