Wale wa enzi zetu

Wale wa enzi zetu

Hahaaaa umekunywa uji wa buluga ilikuwa kwa hisani ya Watu wa ITALY.

@H.ivo vidude tulikuwa tunatozwa hela kuangalia.
Uji wa bulgar ulichanganywa na sukari na maziwa, ulikuwa wa njano. Shule tuliimba kwa bidii tukisubiri kuweka vikombe vyetu.
 
Twambizanne nasisi ilikua nini jamaniii. Ndo matunguli yako au
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ni still picture video unaziona picha kama kwenye hadubini na ukitaka kuforward kuna button unabofya
 
Twambizanne nasisi ilikua nini jamaniii. Ndo matunguli yako au
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Vilikua vinyonyesheo vya watoto labda..maana wahenga hawataki kusema ili na sisi kizazi cha Mzee Mwinyi tujue.
 
Kuna Jirani yetu mmoja henzi hizo alirudi toka ulaya ndo akaja na hiyo cinema, tulikuwa tunapangana nyumbani kwake kuangalia cinema kwa zamu zamu. ipo siku niliwahi foleni saa 12:30 Asbh nilifanikiwa kuona hiyo Cinema saa 10 Jioni.

Huyo Jirani ni mhaya design si akaanza kuleta uhaya wake eti akawa ajifanya mzungu kazoea ulaya, anatigisha kichwa kwa nyuma afu anafanya kama anarudisha nywele Nyuma kama mzungu kana kwamba nywele zinaziba macho.
Kweli [HASHTAG]#Tumetokambalipamoja[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nyingine Tulikuwa Tunatengeneza Za Makopo Tulikuwa Tunaweka Picha Za Wadada Tunazitoa Kwenye Makasha Ya Sabuni
nilikuwa nataka nipite bila kuchangia chochote kwenye uzi huu lakini mkuu kwa comment yako nimeshindwa kujizuia!

nyakati zimekwenda wapi?
 
Back
Top Bottom