Hivyo miaka ya nyuma walikuwa wanakuja navyo watu wanaotoka kuhiji Makka
Mkuu mshana umenistua sanaa aisee baada ya kuona hii kitu.daaa tumetoka mbali sanaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mhenga mwenzetu mwaka 1976 nilikuwa ninakwenda nursery kwasababu ya uji wa bulgar ulioletwa kwa hisani ya watu wa MarekaniWeweeee umetisha nililetewa na baba mwa 1976 kutoka Zambia hiyo duu!!!? wewe mkali
Vipo sana angalia simu yako kuna app inaitwa gallery. Vya sasa ni digital. Kifupi hizo ni picha za mnato zimetunzwa kwenye slides. Kutizama unazungusha hio slides kwa kukliki hicho kitufe cha kulia. Simple tu.Hivi siku hizi vipo hivyo ??
Sikumbuki uzuri kama gharama zake za kuangalia ilikuwa senti hamsini (thumni )au shilingi moja aaah ilikuwa ndio fashion hiyo unapaona makka (mecca )nafsi yako ina burudika kabisa. Waqt sijui umekwenda wapi!Hivyo miaka ya nyuma walikuwa wanakuja navyo watu wanaotoka kuhiji Makka
Pana mambo hutuunganisha na kuhisi kama tulicheza eneo moja lakini kumbe ni rika moja (umri mmoja )ndio hufanya hivyo. Ni moja kati ya faida ya hii mitandao ya kijamii kutukumbusha mambo mazuri ya zamani wimbo wa Robert kelly (if I could turn back the hands of time )huwa nakumbuka mbali.
Kweli kabisa kakaPana mambo hutuunganisha na kuhisi kama tulicheza eneo moja lakini kumbe ni lika moja (umri mmoja )ndio hufanya hivyo. Ni moja kati ya faida ya hii mitandao ya kijamii kutukumbusha mambo mazuri ya zamani wimbo wa Robert kelly (if I could turn back the hands of time )huwa nakumbuka mbali.