Wale wa enzi zetu

Wale wa enzi zetu

Sikumbuki uzuri kama gharama zake za kuangalia ilikuwa senti hamsini (thumni )au shilingi moja aaah ilikuwa ndio fashion hiyo unapaona makka (mecca )nafsi yako ina burudika kabisa. Waqt sijui umekwenda wapi!
Ninachokumbuka yule jamaa anaeonesha hio kila aki-slide anakwambia hapo ni Mecca sijui nini....jamaa alikuwa anajuaje kuwa ikitoka hii inakuja hii?
 
Ninachokumbuka yule jamaa anaeonesha hio kila aki-slide anakwambia hapo ni Mecca sijui nini....jamaa alikuwa anajuaje kuwa ikitoka hii inakuja hii?
Wacha kabisa jamaa walikuwa wazuri wa kukariri walitukusanya sana waqt ule
 
Duuuuuuh hiyo kali mno.
1. Umewahi foleni asubuh picha unaona jioni. Duuuuuuhh sababu ilikuwa nn au walikuzd nguvu waliokuja badala yako?
2.Mtanzania anatingisha kichwa kama mzungu!!!!!!
Kuna Jirani yetu mmoja henzi hizo alirudi toka ulaya ndo akaja na hiyo cinema, tulikuwa tunapangana nyumbani kwake kuangalia cinema kwa zamu zamu. ipo siku niliwahi foleni saa 12:30 Asbh nilifanikiwa kuona hiyo Cinema saa 10 Jioni.

Huyo Jirani ni mhaya design si akaanza kuleta uhaya wake eti akawa ajifanya mzungu kazoea ulaya, anatigisha kichwa kwa nyuma afu anafanya kama anarudisha nywele Nyuma kama mzungu kana kwamba nywele zinaziba macho.
Kweli [HASHTAG]#Tumetokambalipamoja[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom