Wale wa enzi zetu

Wale wa enzi zetu

Vipo sana angalia simu yako kuna app inaitwa gallery. Vya sasa ni digital. Kifupi hizo ni picha za mnato zimetunzwa kwenye slides. Kutizama unazungusha hio slides kwa kukliki hicho kitufe cha kulia. Simple tu.
Kweli mkuu hakika
 
Mie ata sijaelewa,naona mnacomentiana tuuu,kwani ni li nini hilo?
 

Kuna Jirani yetu mmoja henzi hizo alirudi toka ulaya ndo akaja na hiyo cinema, tulikuwa tunapangana nyumbani kwake kuangalia cinema kwa zamu zamu. ipo siku niliwahi foleni saa 12:30 Asbh nilifanikiwa kuona hiyo Cinema saa 10 Jioni.

Huyo Jirani ni mhaya design si akaanza kuleta uhaya wake eti akawa ajifanya mzungu kazoea ulaya, anatigisha kichwa kwa nyuma afu anafanya kama anarudisha nywele Nyuma kama mzungu kana kwamba nywele zinaziba macho.
Kweli [HASHTAG]#Tumetokambalipamoja[/HASHTAG]
 
Ulivaa chupi aina ya V.I.P? Tuanzie hapo kwanza!!!
Na hii pia
DSC03248.JPG
 
Back
Top Bottom