kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,183
Enzi hizoo nipo mikoa ya South huko nilikuwa nawapiga saana korosho uoni hadi unipe korosho kumi
Kweli mkuu hakikaVipo sana angalia simu yako kuna app inaitwa gallery. Vya sasa ni digital. Kifupi hizo ni picha za mnato zimetunzwa kwenye slides. Kutizama unazungusha hio slides kwa kukliki hicho kitufe cha kulia. Simple tu.
[Emoji23] [Emoji23] [Emoji23] Vitu vya wahenga hivyo
ZipoHivi siku hizi vipo hivyo ??
We ni wa mwaka 94 nini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]shikamooni wakuu maana sijakijua kitu chenyewe
Ata mm sijui lakini nahisi ni machine ya kukamulia maziwa ya mbuzi(Goat milking machine)we si unaona huto tutundu tuwili twa kushikia chuchu?shikamooni wakuu maana sijakijua kitu chenyewe
Ulivaa chupi aina ya V.I.P? Tuanzie hapo kwanza!!!Mie ata sijaelewa,naona mnacomentiana tuuu,kwani ni li nini hilo?
Zilikua zipoje?au zile za blue?Ulivaa chupi aina ya V.I.P? Tuanzie hapo kwanza!!!
Mh!huto tu mkebe tulikua tunajipikilishiaga huto,kwahiyo ata mimi nilikua nimezaliwa 'teyari'Na hii piaView attachment 589470
Mwaka 1976 ?????? Mmmmmh tuwe wakweli basWeweeee umetisha nililetewa na baba mwa 1976 kutoka Zambia hiyo duu!!!? wewe mkali
Hahaaaa umekunywa uji wa buluga ilikuwa kwa hisani ya Watu wa ITALY.Mhenga mwenzetu mwaka 1976 nilikuwa ninakwenda nursery kwasababu ya uji wa bulgar ulioletwa kwa hisani ya watu wa Marekani
Kwann unambishia?jee wewe ndiye baba ake?Mwaka 1976 ?????? Mmmmmh tuwe wakweli bas