Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

Tatizo lenu wake wa kibongo mnapenda kuishi beyond means, hilo ndio kubwa. Nywele laki 3, kila fashion mpya wanayovaa mastaa uwe nayo,kila iphone uwe nayo wewe. Kipato cha mumeo 1.3m kwa mwezi. Lazma tuwe wakali kwa matumizi ya kijinga.

Kwa kuwa waume zenu tunaangalia yale muhimu mkikataliwa request zenu za kijinga ndio mnaanza kuhemkwa kuwa mnanyanyaswa ngoja ntafute changu na mimi matokeo yake mkianza kushika vihela mnaanza jeuri.

Sasa kwa tusiopenda usumbufu tunaona bora mke asiwe na kazi coz akidepend kwangu by 100% atawajibika kunihudumia na kulea watoto effectively tofauti na akifanya kazi. Hapa heshima huwepo kwa asilimia kubwa maana unakuwa umetengeneza dependency na hii ndio njia wazee wetu waliitumia kumcontrol mke, ila wanawake wakaaminishwa kuwa ukidepend kwa mume unanyanyasika ndio shida ilianzia hapo.

Ila sasa tunasahau mke akiwa na kipato unampa independence ya kujifanyia atakalo maana si ana hela na anajimudu so tayari anaondokana na ile hali ya kuwa submissive yanaanza mashindano mjengoni, ni wachache sana wanabakiaga kwenye nafasi ya mke wakishashika vihela.

"You only have control to people you feed"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti vihela..we baharia bana
 
Mimi kwangu hata kuogesha watoto naogesha kasoro kupiga deki tu, jumapili zote kupika zamu yangu na watoto wanafurahi sana wakiniona jikoni mana wanajua kitu nachokitoa huko si mchezo.
Angalau wewe unamuda hata huo wa kuogesha na kupikia watoto..Kuna wenzio wanawafanya wanawake Kama punda haijalishi ni weekend au weekdays ...nifanye kazi nilee watoto nimlee yeye na bado usiku atataka chakula ya bed
 
Najua unatania brother G.Jacob. Kama kweli unayafanya hayo, usijisifisie utakuwa umelishwa limbwata la grade A+
Aisee..kumbe mwanaume kusaidia mke kazi za nyumbani ni matokeo ya limbwata...sikulijua hili
 
Najua unatania brother G.Jacob. Kama kweli unayafanya hayo, usijisifisie utakuwa umelishwa limbwata la grade A+
Aisee..kumbe mwanaume kusaidia mke kazi za nyumbani ni matokeo ya limbwata...sikulijua hili
 
Ni mwaka wa nne huu na bado sijutii. Tunasaidiana kwa mengi, kuanzia matumizi ya nyumbani mpaka kwenye investments. Na hata bahati mbaya nikitangulia mbele za haki, Niko na confidence of more than 60% kwamba mtoto (watoto) wangu are in good hands.
40% umewaachia vibenten
 
Hahahaha I know you understand very well what I mean so please don't make me say some other things that may cause problems and by the way I ain't into politics at all
And why do you assume handshaking by those two political figures has to do with hypocrisy? haujui kwamba mmoja ni msema kweli na tena mpenzi wa Mungu.
 
Kwa jinsi ninavyooona wake za watu jinsi wanavyobehave, mi kuoa aliyeajiriwa hapana
 
Hahahaha I know you understand very well what I mean so please don't make me say some other things that may cause problems and by the way I ain't into politics at all

it’s cool if you ain’t really in politics! bu i synonymize your political indifference with neutrality, so in other way you are telling me you side with neither side in politics unlike here in MMU where you always side with your idem gender..isn’t it?
 
Mwisho wa siku ukichunguza sana, siku hizi wanawake wengi hasa wale waliojaliwa kazi za kipato/mshahara hata hizo kazi za ndani anazosema hawazifanyi. Na ki-ubinadamu rahisi kuelewa kwa nini hawafanyi, kwa sababu hizo kazi za mshahara nyingine ni ngumu na zinawachosha, kama zinavyowachosha wanaume. Lakini sasa wanatafuta na kuwaachia kazi zote ma-housemaids. Na kibaya zaidi hata mshahara wa hao housemaids wanataka me ndiyo walipe. Sasa unajiuliza nini maana ya mke kufanya kazi za kipato, maana kazi za ndani hafanyi tena, na faida ya kazi anazofanya huko nje anasema haina uhusiano na matumizi ya familia maana ni jukumu la mme kuitafutia familia yake. Kama ni hivyo nini hasa maana ya kuwa na mke kama huyo hapo nyumbani!! Wanawake wengine ni shida, they are too selfish & greedy
Mi ndio naona tatizo liko hapo kwenye ubinafsi huo. Ntaupiga vita mpaka tone langu la mwisho.
 
Mkeo anafanya kazi,,halafu hujui hela inaishia wapi,,wakulaumiwa si mwanamke,,ni wewe mwanaume acha ubwege,,. Ngoja usikie kajenga kimyakimya tena sio Nyumba yenu,,yake
Umesema vema, ongera kwa hilo.
 
it’s cool if you ain’t really in politics! bu i synonymize your political indifference with neutrality, so in other way you are telling me you side with neither side in politics unlike here in MMU where you always side with your idem gender..isn’t it?
No, even in gender issues I can side with any gender depending on the topic but what I have come to realise is that many African men are not fair at all.
 
Kwa jinsi ninavyooona wake za watu jinsi wanavyobehave, mi kuoa aliyeajiriwa hapana
Usi-generalize. Kuna baadhi yao ni wazuri kweli kweli. Wanasaidia kushauri, kuchangia na kupanga mapato na matumizi ya familia zao vizuri. Pia siyo kwamba ke wote wasio na ajira ni wanyenyekevu, wengine pasua kichwa zaidi hata ya hao wenye ajira. Hivyo omba tu kupata mke mwema, maana mmmh mambo ya mahusiano na familia hayana mwenyewe si msomi, masikini, tajiri, mwenye kazi au lah, yeyote anaweza fanikiwa au kuchemsha!
 
No, even in gender issues I can side with any gender depending on the topic but what I have come to realise is that many African men are not fair at all.
Fairness in terms of what madam? As far as I know, no human being is perfectly fair. We all have degrees of fairness and unfairness depending on who evaluates who.
 
Angalau wewe unamuda hata huo wa kuogesha na kupikia watoto..Kuna wenzio wanawafanya wanawake Kama punda haijalishi ni weekend au weekdays ...nifanye kazi nilee watoto nimlee yeye na bado usiku atataka chakula ya bed
Chakula ya bed nayo kazi kumbe? Mi nilijua starehe tu ile ya kufurahisha mwili na akili.
 
Back
Top Bottom