Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

Ukiangalia orodha ya wakuu wa wilaya na sifa za baadhi ya tuwajuao, ni vigumu kuelewa vigezo vya uteuzi.
 
Sijaweza kujua hasa sababu au mkakati Wa uteuzi wa waandishi wa habari wengi kwenye ukuu Wa Wilaya.
Kwa uchache nimewatambua wafuatao.
1. Novatus Makunga
2. Muhingo Rweyemamu
3. Jacquline Liana
4. Suleyman Kumchaya
5. Elizabeth Mkwasa
6. Sara Dumba (ameongezwa)
7. Halima Kiemba (ameongezwa )
8. Elias Goroi - Rorya (ameongezwa)
9. Ahmed Kipozi - (ameongezwa)
Naomba uongeze kama kuna zaidi kisha sababu unazofikiri zinazochochea uteuzi. (niliondika waneongezwa) ni wale wanoongezwa na wanajamvi.
 
Wengi ni wangapi?

unataka sababu zipi zaidi ya unazozijua? ngoja nikupe za kwangu
1.wanaandika sana mazuri ya ccm
2.hawajawahi kuiponda ccm wala mtu yeyote ndani ya ccm
3.ni wapenda rushwa wenzao.
4.huwafichia maovu yao
5.kuna vitu wananufaika kutoka kwenye huo mfumo.
mengine ongezea
 
unataka sababu zipi zaidi ya unazozijua? ngoja nikupe za kwangu
1.wanaandika sana mazuri ya ccm
2.hawajawahi kuiponda ccm wala mtu yeyote ndani ya ccm
3.ni wapenda rushwa wenzao.
4.huwafichia maovu yao
5.kuna vitu wananufaika kutoka kwenye huo mfumo.
mengine ongezea

Sijauliza sababu mimi. Au hujui kusoma?
 
Ukiangalia orodha ya wakuu wa wilaya na sifa za baadhi ya tuwajuao, ni vigumu kuelewa vigezo vya uteuzi.

Vipi tena Tume ya Katiba amekutosa nn mkulu katika ukuu wa Wilaya! Ndio mkulu huyo alivyo hasomeki, na kumtetea yataka uwe na moyo wa kiwendawazimu
 
Ukiangalia orodha ya wakuu wa wilaya na sifa za baadhi ya tuwajuao, ni vigumu kuelewa vigezo vya uteuzi.

vyeo vya ukuu wa wilaya na ukuu wa mkoa havikutakiwa kuwepo kabisa kwani nchi hii hivi sasa inajitawala na wananchi wenyewe ndio wanatakiwa kuchagua viongozi wao na siyo mamlaka fulani kuwachagulia wananchi kwa niaba yao. political power must be originated from the people and not otherwise.
 
Back
Top Bottom