kwenye blue hapo!! hao baadhi ni wabunge na walio kua wabunge...hivi kuna haja gani ya kurecycle??????
Mkuu .. Huyo Ponsiano Nyami ni nani?(profile kwa kifupi) kapewa Tandahimba..
Kibonde elimu hakuna pale wewe
Novatus Makunga lazima mjue ni homeboy wake JK kwani ni wa Kabila lake na wanatokea eneo moja. Pia siyo tu kada wa CCM bali mtu mwenye chuki na vyama vingine vya upinzani na aliwahi jaribu kugombea ubunge Arusha CCM wakamchuja ndani kwa ndani. Alikuwa katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha.
Ameteseka sana kutafuta cheo CCM na hapa amefanikiwa na msitegemee maendeleo yoyote kwani watu walioteuliwa wengi wamechoka na wengi walishindwa ubunge.
Eti hata aliyekuwa katibu wa KKKT amechaguliwa mkuu wa Wilaya.
ni mwenyewe...!Hivi Dkt Michael Y Kadeghe aliyetuliwa Mbozi ni yule mwandishi wa vitabu, mwalimu na mmiliki wa shule ya perfect vission?
Wanajamii tusianze kujaji kwa kuangalia udini?wewe siyo thinker nini?watu wapo kiperformance zaidi acha ushamba kama umekosa point cool down bwana.ishu iliyopo je mtu kama babu kipozi na novatus makunga wanaweza kuwa tegemeo la maendeleo?achilia mbali elimu busara za kupambana na changamoto wanazo?
hanifa karamagi- gairo
Ingekuwa vyema tukasaidiana kuelewa vigezo vilivyo wazi katika kuteua Wakuu wa Wilaya. Novatus Makunga naye yumo!! Cha kujiuliza huyu jamaa imekuaje kampa shavu, kigezo kipi kilichotumika kumteua huyu jamaa? Au mpaka uwe kada wa chama?
Je, kuna CV maalum unatakiwa uwe nayo ndio uteuliwe kuwa Mkuu wa Wilaya?
Wakuu kutoka jikoni a.k.a W/H mtusaidie kwa hili.
Majibu na Maoni Plz
huyu Martha Umbula ni mbunge wa CCM viti maalumu Karatu, sijaona umuhimu kumteua kuwa mkuu wa wilaya tena mbaya zaidi kapangwa mbali na jimbo lake.
...Pia wapo waliopewa "kutulizwa" maana walionekana hatari either kwa kugombea ktk majimbo ya baadhi ya vigogo, au kwa kuwa na nia ya kugombea. Kuna baadhi yaani hawana uwezo kabisa upstairs, na baadhi utaona wazi walipendekezwa na mtu fulani. Inaelekea pia wengi wamepigiwa shavu thru Pm office, na ni wazi huyu hafai kabisa kuwa PM, kama ambavyo bosi wake hafai kuwa na cheo chochote zaidi ya utembezi !!