Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
huyu Amani K Mwenegoa wa bukombe ndio yule aliyewahi kuwa katibu mkuu wa kkkt?
Huyu Amani Mwenegoha alifukuzwa na Kanisa (KKKT) kwa sababu ya ufisadi aliokuwa anaufanya kwa nafasi yake ya ukatibu mkuu wa KKKT. Sasa leo anapelekwa kuongoza wilaya ili akaendeleze ufisadi serikalini. Ivi kabla ya kufanya uteuzi kuna uchunguzi wowote unafanyika kujua background ya hawa watu? Au ndio ishu ya kujuana?
huyu Amani K Mwenegoa wa bukombe ndio yule aliyewahi kuwa katibu mkuu wa kkkt?
Wapo pia waliowahi kuwa mawaziri na manaibu waziri.
vipi mkuu unacheka
Huyu ndie alikuwa anaripoti mikutano ya CCM Arumeru??
Tehetehe.. Ngoja akapambane na Mbowe huko hai!!
Huyu jamaa aliwahi kuwa Rais wa DARUSO na alikuwa bogus kuliko marais wote wa DARUSO!!
... hao baadhi ni wabunge na walio kua wabunge...hivi kuna haja gani ya kurecycle??????
sijamsoma mzee WJM! mbunge mtarajiwa wa Mtera!Kibonde kapewa wilaya gani?
Au bado hawamwoni!!
James K. O. Millya Longido
Naomba msaada huyu Millya who?
Yupo, soma hiyo list ya pili jina lake lipo kwenye namba 8Simwoni Betty Mkwasa,
katemwa nini?
Hapana, huyu si Mke wa Dr Deo Mtasiwa.Hafsa Mtasiwa mke wa Dr Deo Mtasiwa Dokta anapoozwa ha ha I love CCM and KIKwetes Government no wonder most Tanzanians now have a second thought