Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,654
- 13,475
pole sana mwathirka mwenzangu angalau nikiongea utaelewa namaanisha nn ebu niambie yale mabomu yaliyoaanza kulipuka mfulilizo mida ya saa 4 kama na nusu jamani ule mwanga ata kama umeangusha sindano chini unaiona live alafu yaliganda kama dk 20 na kitu mfulilizo acheni jamani yani kunguru ucku huo unamkwepa unafikiria ni bomu kumbe na yy anaokoa roho yake
ilikuwa ni dhahama kubwa!!na nikajua kumbe watu wote wanamjua MUNGU,kwani ilikuwa kila mtu Mungu tuokoe,subuhana tuokoe,Mungu tumekukosea nini,mungu tunakufa,mungu tuokoe hatutarudia tena(hata sikujua hatutarudia nini)!!mungu tumeuona utukufu wako, na maombolezo mengi ya staili hiyo!!nitaishi kuukumbuka usiku wa juzi!!