Baada ya kuwa salama tafuta wana Jf kwenye jukwaa la sheria au tafuta mwansheria unayemjua haraka haraka wa kuisue serikali na JWTZ na kuomba fidia yausumbufu na mali zako zilizopotea. Hope ukifungua kesi na wengine wataijiunga kuongeza madai yao.
Msisubiri serikali na JWTZ ijamulie fidia ya kuwalipa. wanatakiwa wawapigie magoti nawatoe fidia ya uhakika.
haya twende kazi. na pole sana ndugu
Pole Bandugu, Tumshukuru Mungu kuwa umesalimika dhidi ya roho mbaya ya watawala wetu..
Manake huo ni uzembe ambao ungeweza kuepukika na madam walipuuzia, basi ni kwa sababu ya roho mbaya waliyo nayo dhidi ya raia wake..
Ipo siku tu.
Pole sana ndugu yangu.
thanks a lot mkuu amen