Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,773
- 3,878
- Thread starter
- #81
Asante sana mkuuUsiwe na wasiwasi, ila ilipaswa wauliza Kwa Nini wanakuita eneo ambao sio lako la Kodi, ila hakuna shida, kabla hujaenda huko pita kwanza eneo lako la Kodi uwaulize kuhusu huo wito, only and only then ndo uamue kwenda huko.
Kama ni TRA kweli, then wala usiwe na wasiwasi, ila shida ni kama ni chambo na umeshawapa mademu walko wa Jamii forums number ambao ni madume jike kama wale walioingia mahakamani Jana!