Wakuu nimeitwa TRA. Usalama upo kweli?

Wakuu nimeitwa TRA. Usalama upo kweli?

Najua unahofia mambo ya kuweka nyavuni,maana wasiwasi nayo aKili.

Ila saizi tra wanapiga simu sana kutaka watu walipie madeni,huyo ilitakiwa akupe sababu ya kukuita,na sio hata lazima uende wewe.

Mtume mtu,
 
Kea nchi ilivyo lazima tujuliane hali na pia kuwa na wasiwasi: Huyu nfugu yetu hakuwa navrafiki wa karibu humu, September 5 ni mbali sana
 
Nafsi yako na upeo wako wa kiakili vinakuambiaje kulingana na mazingira yenyewe ya kuitwa kwako?

Hata kama ni tofauti na kituo chako, hakikisha sio sehemu nyingine tofauti na ofsi iliyo maeneo ya wazi inayohusika na mambo ya kodi TRA, na uzingatie sana masaa yako ya kwenda. Kama utakuwa na wasiwasi, wakati unatoka piga routes za nyoka kabla hujashika route ya kurudi unapokaa.

Vinginevyo kaa usubiri barua rasmi.
.
 
Back
Top Bottom