Wakuu nimeitwa TRA. Usalama upo kweli?

Wakuu nimeitwa TRA. Usalama upo kweli?

Usiende pekeyako nenda nawashikaji kazaa wakupe escort.

Kuwa na kamera ya siri, Toa taarifa kwa watu wakaribu yako na kwenye mitandao yako ya kijamii.

Namba ya simu iliyokupigia ipigie tena ukiomba location na kumjua aliyekuita kwa cheo chake usisahau kurekodi mazungumzo yenu na mkabidhi mtu unaye muamini pamoja na hiyo namba ya simu.

Hapo kijana nenda kwa amani.
 
Usiende pekeyako nenda nawashikaji kazaa wakupe escort.

Kuwa na kamera ya siri, Toa taarifa kwa watu wakaribu yako na kwenye mitandao yako ya kijamii.

Namba ya simu iliyokupigia ipigie tena ukiomba location na kumjua aliyekuita kwa cheo chake usisahau kurekodi mazungumzo yenu na mkabidhi mtu unaye muamini pamoja na hiyo namba ya simu.

Hapo kijana nenda kwa amani.
Kabisa huwezikwrnda kizembe
 
Usiende pekeyako nenda nawashikaji kazaa wakupe escort.

Kuwa na kamera ya siri, Toa taarifa kwa watu wakaribu yako na kwenye mitandao yako ya kijamii.

Namba ya simu iliyokupigia ipigie tena ukiomba location na kumjua aliyekuita kwa cheo chake usisahau kurekodi mazungumzo yenu na mkabidhi mtu unaye muamini pamoja na hiyo namba ya simu.

Hapo kijana nenda kwa amani.

Labda atasoma bila kuingia na hii ID yake kwa ubizi. Last sseen ni Sept 5th
 
Ilitakiwa uwaulize hayo maswali yote unaitikiaje wito bila kupata details za kueleweka?
Inatakiwa wakutumie nakala ya maandishi inayoelezea sababu ya wito na deadline ya kwenda,mambo ya kiofisi hayaendi kihuni hivyo
kweli mkuu kuitwa kihuni huni ni kujihatarishia usalama
 
Back
Top Bottom