Au aende na company ya watu 4 aongozane nao.Usiende unless wamekupa sababu ya kukuita na mkutane kwenye mazingira ya kazi, muda uwe wa kazi, na usiende mwenyewe na wakati unaenda uage uko wapi
Asante sana mkuu. Sidhani hata kama millioni mbili inafikadeni linazidi 100 million ? na upo mkoa gani ?
Vijana wana njaa wanakuita wakupange wakule hela . Achana nao, kama wana akili wakufate mteja ofisini
Asante sana mkuu kwa ushauri wako.. Ninaufanyia kaziTRA wakuite kihuni tu unaenda wakati wao wana address yako kama ni mlipa kodi wahuni wanajua ukiitwa kwa kupitia TRA ni rahisi kukudaka hakuna kitu hapo waambie wao ndio waje kwako..
Wasiwasi ndio akili mkuuWasiwasi wako tu
Asante sana mkuuUsiende
Wapuuzi, hao. Achana nao sio deni la kupigiwa simu na TRA. TRA hawapo hivyo kwanza wangekuja ofisini kwako kama wana kwaro.. na kupigiwa simu ungekuwa na mdeni mkubwaa ila sio ki 2 millionAsante sana mkuu. Sidhani hata kama millioni mbili inafika
Asante sana mkuuUsiende, Subiri kama kuna la ziada watakuletea barua ya wito wa kufika ofisini.
Asante sana mkuu. So itakuwa ni wahuni wa mtaani au vijana wa TRA ?Wapuuzi, hao. Achana nao sio deni la kupigiwa simu na TRA. TRA hawapo hivyo kwanza wangekuja ofisini kwako kama wana kwaro.. na kupigiwa simu ungekuwa na mdeni mkubwaa ila sio ki 2 million
Au wahuni wa mtaa, kwanza ulitakiwa upigiwe na afisa wa Tawi lako. Hao wanakuchekecha au wajinga flani.. Binafsi kuna jamaa yangu ana deni la karibia 2 billion, huwa hata hata wazo.. achana nao wasikipotezee mdaAsante sana mkuu. So itakuwa ni wahuni wa mtaani au vijana wa TRA ?
huyu huenda wana mpanga walale nae mbele, huo sio utaratibu wa TRA..Jaman Tanzania hii imeharibika kuweni makini. Si mnaona huko watu wanatishia watu hadharani ..
Tafuta auditor au consultant uende nae. Pia usiende ulikoitwa. Nenda kituoni kwako unakolipia kodi. Kama nwenyewe watakwambia file lako lipo sehemu fulani. Either wataambiwa wakufuate au utajua Cha kufanya.Nimepigiwa simu TRA wananiita. Namba ya simu ni ya kawaida. Je uzima upo? Sehemu niliyo itwa ni tofauti na kituo changu cha Kodi..
Usalama upo kweli?
N. B : Mimi sio mfanyabiashara mkubwa wala wa Kati.
Abadilishe laini ...huyu huenda wana mpanga walale nae mbele, huo sio utaratibu wa TRA..
Asante sana mkuuTafuta auditor au consultant uende nae. Pia usiende ulikoitwa. Nenda kituoni kwako unakolipia kodi. Kama nwenyewe watakwambia file lako lipo sehemu fulani. Either wataambiwa wakufuate au utajua Cha kufanya.
Watakuwa watu gani Hao?huyu huenda wana mpanga walale nae mbele, huo sio utaratibu wa TRA..
Asante sana mkuuAu wahuni wa mtaa, kwanza ulitakiwa upigiwe na afisa wa Tawi lako. Hao wanakuchekecha au wajinga flani.. Binafsi kuna jamaa yangu ana deni la karibia 2 billion, huwa hata hata wazo.. achana nao wasikipotezee mda